MDAU ALALAMIKIA KUCHELEWESHWA UTOLEWAJI WA VYETI VETA.
Lalamiko langu kubwa ni kuhusu VETA kumekuwa na tatizo la ucheleweshaji wa vyeti pindi wahitimu wanapomaliza course zao siju ni kwanini?
Tukiangaliwa vyuo vingi vinavyomilikiwa na serikali wanafunzi wanapomaliza shule yao na matokeo yao yakatoka uwa wanapewa result
slip inayoonyesha kuwa huyu mtu amemaliza course fulani na ameshinda wakati anasubili cheti chake na cheti hakichelewi sana kutoka kama ilivyo kwa VETA kitu ambacho ni tofauti na VETA.
Mwanafunzi anapomaliza course yake na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrgitixY1fXblQOEf0kNJ4I7szo0nOIUHM2o7TfXSwo7Cpgq8HSfI4fUI3FyoaAJDglRYkOCnOyzkHCYSDgmcut48/Untitled.png?width=650)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9D-pkfgTUoI/VPwnAbhVSQI/AAAAAAAAqn0/YjiABC1CFas/s72-c/Untitled.png)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-otUVOySYNMY/UoRE2GL556I/AAAAAAAAC4g/nV-_GmDaxoQ/s72-c/logo.jpg)
UTOLEWAJI WA VIWANJA TANZANIA KWA DIASPORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-otUVOySYNMY/UoRE2GL556I/AAAAAAAAC4g/nV-_GmDaxoQ/s640/logo.jpg)
Uongozi wa Jumuiya ya DMV unapenda kuwajulisha kuwa Wizara ya Ardhi ikishirikiana na Idara ya Diaspora kwenye wizara ya Mambo ya nchi za Nje; kuwa Wanadiaspora, mnashauriwa, mnaruhusiwa na mnaweza kuomba Ardhi kwa ajili ya uwekezaji nyumbani Tanzania.
Mnaweza kutuma maombi yenu moja kwa moja kwenda kwa kamishna wa Ardhi kwa kupitia Idara ya Diaspora, Wizara ya Mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa kwenye email hii : diaspora@nje.go.tz.
Maombi:
Yaainishe Mkoa au Wilaya ambayo...
10 years ago
MichuziRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s72-c/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s640/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7Wwr1G95cMc/VXP0B6HRTyI/AAAAAAAAQlo/sgAic8fCNzk/s640/E86A9577%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dt5RjbsO1wY/VXP0GdCtSlI/AAAAAAAAQmY/yhPTfJ_gO4U/s640/E86A9601%2B%2528800x533%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi28 Apr
KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA
Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.
ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997
Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,
Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Mwambusi alalamikia waamuzi
10 years ago
GPLMREMA ALALAMIKIA WAWEKEZAJI VUNJO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXXDM9jruGHRY0wWMUvpIJCEY-mfIfRuML6NfxA-UvITAkxB8sg2x1DNNYIJnEVaOWrbY*QUkCYAxXV-7ttvM2CU/NYAMELA.jpg)
NYAMWELA ALALAMIKIA WIVU WA MKEWE