Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDAU ALALAMIKIA KUCHELEWESHWA UTOLEWAJI WA VYETI VETA.


Lalamiko langu kubwa ni kuhusu VETA kumekuwa na tatizo la ucheleweshaji wa vyeti pindi wahitimu wanapomaliza course zao siju ni kwanini? 
Tukiangaliwa vyuo vingi vinavyomilikiwa na serikali wanafunzi wanapomaliza shule yao na matokeo yao yakatoka uwa wanapewa result
slip inayoonyesha kuwa huyu mtu amemaliza course fulani na ameshinda wakati anasubili cheti chake na cheti hakichelewi sana kutoka kama ilivyo kwa VETA kitu ambacho ni tofauti na VETA.
Mwanafunzi anapomaliza course yake na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA

Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ufundi Stadi-VETA Leah Lukindo akizungumza wakati akifungua rasmi warsha hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Giraffe-Dar esSalaam. Washiriki wa warsha hiyo ambao ni wadau wa viwanda vya umeme na magari wakisikiliza kwa makini hotuba ya mgeni rasmi.…

 

10 years ago

Michuzi

VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA) imekutana na wadau wa viwanda vya umeme na magari jijini Dar es Salaam kujadili utekelezaji wa mradi wa mafunzo yanayotolewa na VETA kwa kushirikiana na viwanda ujulikanao kama Dual Apprenticeship Training Project.
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

UTOLEWAJI WA VIWANJA TANZANIA KWA DIASPORA


Uongozi wa Jumuiya ya DMV unapenda kuwajulisha kuwa Wizara ya Ardhi ikishirikiana na Idara ya Diaspora kwenye wizara ya Mambo ya nchi za Nje; kuwa Wanadiaspora, mnashauriwa,  mnaruhusiwa na mnaweza kuomba Ardhi kwa ajili ya uwekezaji nyumbani Tanzania.
Mnaweza kutuma maombi yenu moja kwa moja kwenda kwa kamishna wa Ardhi kwa kupitia Idara ya Diaspora, Wizara ya Mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa kwenye email hii : diaspora@nje.go.tz.
Maombi:
Yaainishe Mkoa au Wilaya ambayo...

 

10 years ago

Michuzi

RAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI

Kiongozi wa Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) katika Makazi ya Mishamo, Adolph Bishanga akimkabidhi chandarua na shuka raia mpya wa Tanzania, ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Kapemba, Kata ya Mishamo, wilayani Mpanda, Ageva Moses (kulia) baada ya kujifungua mtoto wa kiume wakati akiwa katika kituo cha kupokelea cheti cha uraia katika Kijiji cha Ifumbula wilayani humo. Licha ya maafisa wa Serikali pamoja na UNHCR kutoa maelekezo kuwa wagonjwa na wasiojiweza...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI

Viongozi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA wakifuatilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama (hayupo pichani) wakati wa utolewaji wa maoni juu ya bei mpya ya huduma ya maji.
Mkuu wa mkoa a Kilimanjaro,Leonidas Gama akizungumza katika mkutano huo ulioandaliwa na EWURA.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA)...

 

11 years ago

Michuzi

KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA


Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.

ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997


Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,


Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo  sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwambusi alalamikia waamuzi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema mdudu mbaya anayefanya kiwango cha soka nchini kishindwe kukua ni waamuzi wasiokuwa wadilifu katika uchezeshaji wao hasa kwa timu ndogo zinazoibuka na kuonyesha ushindani mkubwa dhidi ya timu kubwa.

 

10 years ago

GPL

MREMA ALALAMIKIA WAWEKEZAJI VUNJO

Mwenyekiti wa TLP Augustino Mrema (kushoto) akielezea mgogoro uliopo baina ya mwekezaji na wananchi wa jimbo lake (kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Vicent Tiganya) pamoja na wanahabari pembeni. .... Mrema (wa nne kutoka kushoto) akiwa ameambatana na baadhi ya wananchi wa Jimbo la Vunjo Moshi (kushoto) wakati akizungumza na wanahabari.… ...

 

10 years ago

GPL

NYAMWELA ALALAMIKIA WIVU WA MKEWE

STORI: Shakoor Jongo
RAIS wa Chama cha Wacheza Shoo wa Muziki wa Dansi Tanzania, anayepiga mzigo na Bendi ya Extra Bongo, Hassan Musa ‘Nyamwela’ ameonesha kuulalamikia wivu alionao mkewe aitwaye Hawa baada ya kufunguka kuwa, kutokana na hali hiyo analazimika kuongozana naye kila sehemu. RAIS wa Chama cha Wacheza Shoo wa Muziki wa Dansi Tanzania, anayepiga mzigo na Bendi ya Extra Bongo, Hassan Musa ‘Nyamwela...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani