UTOLEWAJI WA VIWANJA TANZANIA KWA DIASPORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-otUVOySYNMY/UoRE2GL556I/AAAAAAAAC4g/nV-_GmDaxoQ/s72-c/logo.jpg)
Uongozi wa Jumuiya ya DMV unapenda kuwajulisha kuwa Wizara ya Ardhi ikishirikiana na Idara ya Diaspora kwenye wizara ya Mambo ya nchi za Nje; kuwa Wanadiaspora, mnashauriwa, mnaruhusiwa na mnaweza kuomba Ardhi kwa ajili ya uwekezaji nyumbani Tanzania.
Mnaweza kutuma maombi yenu moja kwa moja kwenda kwa kamishna wa Ardhi kwa kupitia Idara ya Diaspora, Wizara ya Mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa kwenye email hii : diaspora@nje.go.tz.
Maombi:
Yaainishe Mkoa au Wilaya ambayo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi03 Jul
TANGAZO LA VIWANJA NA MASHAMBA KWA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA (DIASPORA)
Tunaomba maombi hayo yaainishe Mkoa na Wilaya hitajika, aina ya matumizi ya ardhi hiyo kama ni Makazi, Biashara au Kilimo.
Maombi yawasilishwe kwa Viongozi wa Jumuiya za Watanzania katika miji/ maeneo wanayoishi, ambao watayaleta ubalozini kwa hatua zaidi. Au muombaji wanaweza...
10 years ago
Michuzi29 Oct
TANZANIA DIASPORA INITIATIVE (TDI) — a response to the needs of the Tanzanians in the Diaspora!
The question that lingered in...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/fK6DLjaMDpM/default.jpg)
Apartments kuuzwa kwa njia ya mortgage kwa Wana-Diaspora wa Tanzania huko Zanzibar!
For more details on PBZ Diaspora Accounts (features & benefiits) and on ZSSF Mbweni apartments for Diaspora communities, click here:
Many Zanzibaris living in Toronto took application forms to open Diaspora accounts and Online Mobile Banking with the People's Bank of...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-sH3mkf-UXIA/VdsbK2duczI/AAAAAAAADR4/k94FqmGbvnM/s72-c/GILBERT%2BCHADEMA.jpg)
FIRM: CONFIRMED: BEYOND THE REASONABLE DOUBT: MWANA DIASPORA KUELEKEA BUNGENI KWA SAUTI YA DIASPORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sH3mkf-UXIA/VdsbK2duczI/AAAAAAAADR4/k94FqmGbvnM/s640/GILBERT%2BCHADEMA.jpg)
Ndugu zangu wana Diaspora; Nimeanza kazi ya kutengeneza vipeperushi na harakati nyingine za kampeni. Tunatarajia kuzindua kampeni Jumapil August, 30, 2015. Leo nimetengeneza vipeperushi vya kuvaa shingoni 500 kwa Tsh 400/= each. Vinahitajika atleast 20,000. Nimetengeneza 16 vikubwa vya kuweka kwenye magari, Tsh 6250/= each. Jimbo ni kubwa sana; lina wapiga kura 143,189.
Kwa leo nimetumia Tsh 300,000/= kwa vipeperushi 500 vya shingoni na 16 vikubwa kwaajili ya kuweka kwenye magari. Vya...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MW56Ws7Qp0c/default.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) YATOA HATI ZA VIWANJA KWA WATEJA WAKE
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s72-c/images.jpg)
mtandao wa wasanii tanzania (Shiwata) kugawa viwanja bure kwa wanachama wake mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s1600/images.jpg)
WILAYA ya Mkuranga katika mkoa wa Pwani imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib amesema
Bw. Taalib kasema kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katikia kijiji cha Kiparang’anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA...
10 years ago
Michuzi12 Nov
MDAU ALALAMIKIA KUCHELEWESHWA UTOLEWAJI WA VYETI VETA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-H_JeblneW-I/VGMmgcgd6KI/AAAAAAAGwpM/yf_wx2DAtRg/s1600/download.jpg)
Lalamiko langu kubwa ni kuhusu VETA kumekuwa na tatizo la ucheleweshaji wa vyeti pindi wahitimu wanapomaliza course zao siju ni kwanini?
Tukiangaliwa vyuo vingi vinavyomilikiwa na serikali wanafunzi wanapomaliza shule yao na matokeo yao yakatoka uwa wanapewa result
slip inayoonyesha kuwa huyu mtu amemaliza course fulani na ameshinda wakati anasubili cheti chake na cheti hakichelewi sana kutoka kama ilivyo kwa VETA kitu ambacho ni tofauti na VETA.
Mwanafunzi anapomaliza course yake na...
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA), YATOA MSAADA WA MADAWATI YENYE THAMANI YA SH.MILIONI 10 KWA SHULE YA MSINGI YOMBO