Mbunge alalamikia maji yanayoharibu meno
MBUNGE wa Viti Maalumu, Rebecca Ngodo (Chadema), amelalamikia maji ya wilayani Meru kuwa yanawaharibu meno wakazi wa maeneo hayo.
Akiuliza swali bungeni jana, Ngodo alisema wananchi wa wilaya hiyo wanapata athari za afya ikiwemo kuwa na meno yenye rangi ya kahawia na miguu yenye matege kutokana na maji kuwa na madini ya fluoride iliyozidi.
“Ni wajibu wa Serikali kuhakikisha watu wake wanapata maji safi na salama kutokana na kodi wanazolipa, Serikali inafanya nini kukabiliana na ongezeko la...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Mbunge alalamikia mfumo wa elimu nchini
NA SAFINA SARWATT, MOSHI
MBUNGE wa Moshi Vijijini, Anthony Komu (Chadema), amesema Watanzania wengi ni masikini kwa kuwa mfumo wa elimu uliopo nchini ni mbovu.
Komu aliyasema hayo juzi katika Tarafa ya Kibosho Magharibi alipokuwa kwenye ziara na Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Novatus Makunga.
Wakati wa ziara hiyo, Komu alilenga kusikiliza kero za wananchi na kukutana na viongozi waliomaliza muda wao wakiwamo wenyeviti wa vijiji na madiwani.
“Watanzania wanatakiwa kujengewa misingi bora ya elimu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xm1XeshQta4/U_TMnTV5pEI/AAAAAAAGA9s/XI0MMyay-dk/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
Habarileo25 Apr
Meno ya tembo sasa kuhifadhiwa Naibu Waziri Maji
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema Tanzania haina mpango wa kuchoma au kuuza meno ya tembo inayoyahifadhi na kwamba kinachofanyika ni kuyahesabu na kujua idadi yake ili kuyalinda kwa manufaa ya Taifa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYlv9Z3nXF3jwBvVRZTIeDXsbZR27HwEmr2VG64XQCtosSAHVNaI-mOkEM5ZxWRHLfrr4bzgmBRHqjwdeLHsx36o/unnamed1.jpg?width=650)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-chaPuUbmfNw/U3RZ9DrmYEI/AAAAAAAFhxg/RMJ66Jk1TZg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Vichokoa meno vizuri ila vyaweza kukuathiri fizi, meno
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Mbunge wa Babati Vijijini maji ya shingo
WAKATI joto kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu likiendelea kupanda katika majimbo mbalimbali ya
Paul Sarwatt
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)
Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]
The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Mbunge wa Morogoro mjini atumia zaidi ya milioni 20 kutatua kero ya maji kata ya Mlimani
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kwenye Ofisi ya Mtendaji kata ya Mlimani Katika Mfululizo wa Ziara zake katika Kata mbalimbali Jimbo la Morogoro mjini.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akikagua Vifuko vya mndihira na Mwere Vilivyo Kata ya mlimani Ambavyo Vimegarimu Kiasi cha Shilingi Milion 3 zilizotolewa na Mbunge huyo.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akipanda Safu ya Milima Uluguru...