Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge wa Babati Vijijini maji ya shingo

WAKATI joto kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu likiendelea kupanda katika majimbo mbalimbali ya

Paul Sarwatt

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa Babati vijijini

3

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon mara baada ya kuwasili na kupokelewa katika Kata ya Mangara wilaya ya Babati Vijijini.Katibu Mkuu wa CCM yupo ziarani katika mkoa wa Manyara ambapo atafanya shughuli za kimaendeleo ikiwemo kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kukagua uhai wa chama.

5

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa amezungukwa na wakazi wa Kata ya Mangara wilayani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Malinzi maji ya shingo

BODI ya Ligi Kuu Tanzania kwa kushirikiana na Klabu 14 za ligi hiyo, zimetishia kusaka theluthi mbili ya saini za Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AKERWA NA UPORAJI WA MAENEO YA WANANCHI KUTOKA KWA BAADHI YA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI WILAYANI BABATI VIJIJINI

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza maswali na changamoto mbalimbali walizonazo  kutoka kwa Wananchi wa kata ya Ayamango (Gallapo),Wilayani Babati Vijijini mkoani Manyara kwenye mkutano wa hadhara.Baada ya kusikiliza maswali kinana alionekana kukerwa kwa kiasi kikubwa wananchi wanavyoporwa maeneo yao na viongozi wa chama na Serikali wakiwemo na baadhi ya wawekezaji, Kinana aliahidi suala hilo ambalo limekithiri kwa kiasi kikubwa wilayani humo,kulitafutia ufumbuzi kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge awafungulia jalada vigogo wa Halmashauri Babati

Mbunge wa Viti Maalumu katika Mkoa wa Manyara, Pauline Gekul (Chadema), ametoa taarifa polisi kuhusu kile alichodai kuwa ni kushambuliwa, kudhalilishwa na kuporwa Sh5 milioni, alikodai kuwa kumefanywa na viongozi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati.

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI SASA MAJI YA SHINGO...WAAMUA KISAMBAZA PICHA ZA MTOTO ALBINO ALIYEPOTEA -KWIMBA

POLISI mkoani imetoa picha ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana katika kijiji cha Ndami, wilayani Kwimba ili kuwezesha yeyote atakayemwona kutoa taarifa Polisi ama kwenye ofisi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.Picha hiyo ilitolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya matukio mbalimbali ya uhalifu.Alisema mtoto Pendo aliporwa na watu wasiojulikana kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Ziara ya naibu waziri wa maji Mhe Amos Makalla mjini Babati

Naibu waziri wa maji Amos Makalla amefanya ziara katika halmshauri ya Babati vijijini,Babati mji Na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Babati(BAWASA). Katika halmashauri ya Babati vijijini ameweka jiwe la msingi mradi mkubwa wa maji kijiji cha Riroda wananchi 4000 wanapata maji safi Katika Halmashauri ya Babati mji ameweka jiwe la msingi mradi wa maji wa Managhat watu zaidi ya 3,000 watanufaika kuanzia kesho Aidha ameweka jiwe la msingi jengo kubwa la kisasa la mamlaka ya maji...

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni

Mbunge wa jimbo la Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji kwa kunywa maji ya mto kwa majani ya mgomba maji ambayo wapiga kura wake wa kijiji cha Madindo Mlangali wamekuwa wakiyatumia. Mbunge huyo mbali ya kuzindua pia alitoa msaada wa matenki makubwa ya maji mawili na vifaa mbali mbali juzi.(picha na Francis GodwinBlog)

 

10 years ago

Michuzi

exim bank (Tawi la Babati) yashiriki bonanza la michezo Babati

 Kikosi cha Timu ya Benki ya Exim Tawi la Babati katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa kirafiki kuanza kati ya timu hiyo ya Benki na timu ya Babati Citizens FC wakati wa Bonanza la michezo lililofanyika mwishoni mwa wiki Babati. Bonanza hilo liliandaliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa mkoani Manyara lilikiwa na lengo la kukuza michezo mkoani hapo.

 

11 years ago

Michuzi

BILION 236 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI VIJIJINI

Serikali imetenga zaidi ya bilioni 270 kwa ajili ya miradi ya Maji vijijini kwa kipindi cha mwaka 2014/2015 chini ya mpango wa utekelezaji matokeo makubwa sasa ambapo vijiji 1,239 vitanufaika na huduma hiyo.
Hayo yamesemwa bungeni na waziri wa Maji Mh Prof Jumanne Maghembe wakati akiwasilisha bajeti yake ya makadirio na matumizi kwa mwaka 2014/2015.
Aliainisha kuwa kazi zitakazotekelezwa ni ujenzi na upanuzi wa miradi ya Maji pamoja na ukarabati wa miundo mbinu ya Maji. Kukamilika kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani