Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge awafungulia jalada vigogo wa Halmashauri Babati

Mbunge wa Viti Maalumu katika Mkoa wa Manyara, Pauline Gekul (Chadema), ametoa taarifa polisi kuhusu kile alichodai kuwa ni kushambuliwa, kudhalilishwa na kuporwa Sh5 milioni, alikodai kuwa kumefanywa na viongozi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

farm afrika yakabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za Babati na Mbulu


Farm Africa kupitia mradi wake Usimamizi Endelevu Mfumo wa Ikolojia wa Msitu wa Nou (SNFEMP) na kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za wilaya za Mbulu na Babati.  Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano Akipokea pikipiki hizo katika hafla fupi iliyofanyika ofisi ya Farm Africa, Dareda Babati, Ijumaa tarehe 14 Februari, mwakilishi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Babati, Bibi Zainabu Mnubi alisema...

 

11 years ago

Michuzi

FARM AFRICA YAKABIDHI PIKIPIKI 10 KWA HALMASHAURI ZA WILAYA ZA BABATI NA MBULU MKOANI MANYARA

Farm Africa kupitia mradi wake Usimamizi Endelevu Mfumo wa Ikolojia wa Msitu wa Nou (SNFEMP) na kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za wilaya za Mbulu na Babati.
Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano. Maafisa Misitu wa wilaya za Babati na Mbulu wakiwa na pikipiki walizokabidhiwa. Akipokea pikipiki hizo katika hafla fupi iliyofanyika ofisi ya Farm Africa, Dareda Babati, Ijumaa tarehe 14...

 

10 years ago

Raia Mwema

Mbunge wa Babati Vijijini maji ya shingo

WAKATI joto kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu likiendelea kupanda katika majimbo mbalimbali ya

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Michuzi

exim bank (Tawi la Babati) yashiriki bonanza la michezo Babati

 Kikosi cha Timu ya Benki ya Exim Tawi la Babati katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa kirafiki kuanza kati ya timu hiyo ya Benki na timu ya Babati Citizens FC wakati wa Bonanza la michezo lililofanyika mwishoni mwa wiki Babati. Bonanza hilo liliandaliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa mkoani Manyara lilikiwa na lengo la kukuza michezo mkoani hapo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Jimbo la Manyoni Magharibi ahimiza ukusanyaji pamoja na usimamizi wa mapato ya Halmashauri ya Itigi

SAM_0397

Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare (wa kwanza kutoka kulia) akiwa na Katibu wa CCM wilaya ya Manyoni, Dafrosa aliyekwenda kushuhudia sherehe za uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi.

SAM_0432

Baadhi ya wananchi na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi,wilayani Manyoni waliohudhuria uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi, Mkoani Singida.

SAM_0422

Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi(CCM)Bwana Yahaya Masare(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi...

 

10 years ago

GPL

JALADA LA LOWASA KUWEKWA HADHARANI

Edward Lowassa Na Mwandishi Wetu  DHORUBA ya kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, inazidi kutibua mawimbi kufuatia kunaswa kwa harakati za kuchafuana miongoni mwa wagombea wa nafasi ya urais kupitia chama hicho. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali nchini, imebainika kuwa pamoja na watangaza nia wengine kuwindwa na mkakati huu, mlengwa mkuu ni waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa...

 

11 years ago

Mwananchi

Washtakiwa wahoji lilipo jalada lao

>Mshtakiwa Makongoro Joseph Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara wa madini, Onesphory Kituli, ameutaka  upande wa mashtaka kuwa wazi kuhusu upelelezi wa kesi yao na iwapo jalada lao kama lipo kwa DPP ama kwa RCO.

 

10 years ago

Mwananchi

Usikinunie kitabu kwa sasabu ya jalada lake

Bibi Mlevi ameanza kuwa na wasiwasi kwamba, ati mimi nina mpango wa kugombea Uaskofu! Hii ilitokea nilipogombana na kuwatimua watoa pepo waliotuvamia nyumbani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani