Mbunge awafungulia jalada vigogo wa Halmashauri Babati
Mbunge wa Viti Maalumu katika Mkoa wa Manyara, Pauline Gekul (Chadema), ametoa taarifa polisi kuhusu kile alichodai kuwa ni kushambuliwa, kudhalilishwa na kuporwa Sh5 milioni, alikodai kuwa kumefanywa na viongozi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s72-c/e1.jpg)
farm afrika yakabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za Babati na Mbulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s1600/e1.jpg)
Farm Africa kupitia mradi wake Usimamizi Endelevu Mfumo wa Ikolojia wa Msitu wa Nou (SNFEMP) na kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za wilaya za Mbulu na Babati. Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano Akipokea pikipiki hizo katika hafla fupi iliyofanyika ofisi ya Farm Africa, Dareda Babati, Ijumaa tarehe 14 Februari, mwakilishi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Babati, Bibi Zainabu Mnubi alisema...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2_jZq96JcJg/UwJQXseZgxI/AAAAAAAFNp4/bVYlMEHC1L0/s72-c/New+Picture+(3).png)
FARM AFRICA YAKABIDHI PIKIPIKI 10 KWA HALMASHAURI ZA WILAYA ZA BABATI NA MBULU MKOANI MANYARA
Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2_jZq96JcJg/UwJQXseZgxI/AAAAAAAFNp4/bVYlMEHC1L0/s1600/New+Picture+(3).png)
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Mbunge wa Babati Vijijini maji ya shingo
WAKATI joto kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu likiendelea kupanda katika majimbo mbalimbali ya
Paul Sarwatt
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3cvOrxqZiy8/VPP3nG6lNxI/AAAAAAAC0ws/zSjT2gJVFcA/s72-c/eximite%2BBabati.jpg)
exim bank (Tawi la Babati) yashiriki bonanza la michezo Babati
![](http://1.bp.blogspot.com/-3cvOrxqZiy8/VPP3nG6lNxI/AAAAAAAC0ws/zSjT2gJVFcA/s1600/eximite%2BBabati.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mbunge wa Jimbo la Manyoni Magharibi ahimiza ukusanyaji pamoja na usimamizi wa mapato ya Halmashauri ya Itigi
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare (wa kwanza kutoka kulia) akiwa na Katibu wa CCM wilaya ya Manyoni, Dafrosa aliyekwenda kushuhudia sherehe za uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi.
Baadhi ya wananchi na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi,wilayani Manyoni waliohudhuria uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi, Mkoani Singida.
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi(CCM)Bwana Yahaya Masare(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzlHdf*-WP*p3wVytfxWF1M3qfnRwoCCFWooaB*azwXbM5Hq2o79CHlLb1RT8EFHMNhpCmEoFGkTUL3kYnljA5OB/LOWASSAEdward.jpg?width=650)
JALADA LA LOWASA KUWEKWA HADHARANI
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Washtakiwa wahoji lilipo jalada lao
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Usikinunie kitabu kwa sasabu ya jalada lake