Usikinunie kitabu kwa sasabu ya jalada lake
Bibi Mlevi ameanza kuwa na wasiwasi kwamba, ati mimi nina mpango wa kugombea Uaskofu! Hii ilitokea nilipogombana na kuwatimua watoa pepo waliotuvamia nyumbani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Oct
DCI awasilisha jalada la Mbowe kwa DPP
10 years ago
Mtanzania13 Mar
Jalada kesi ya Zitto laitwa kwa Jaji Kiongozi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salam
SAKATA la kufukuzwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), limechukua sura mpya baada ya Jaji Kiongozi, Shabani Lila kuitisha jalada la kesi yake hali inayoonyesha kupitiwa upya kwa kesi hiyo.
Wiki hii Mahakama Kuu ilitupilia mbali ombi la Zitto la kutaka Kamati Kuu ya Chadema kutomjadili na hatimaye kumfukuza uanachama wake baada ya makada wenzake, Samson Mwigamba aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha na Profesa Kitila Mkumbo...
10 years ago
Mwananchi10 Nov
UTATA: Jalada la kesi ladaiwa kuibiwa kwa msajili
5 years ago
CCM Blog
DIWANI WA SINZA CHADEMA AMALIZA UDIWANI WAKE KWA KWENDA 'ROKAPU' NA KUFUNGULIWA JALADA TAKUKURU KWA KUDAIWA KULAMBA FEDHA ZA KINAMAMA

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sinza kwa tiketi ya Chadema Godfrey Chikandamwali jana, alimaliza udiwani wake kwa kuwekwa 'rokapu' na Polisi na kisha kufunguliwa jalada TAKUKURU, kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori, kwa tuhuma za kukaidi wito wa mkuu huyo wa wilaya na pia kutafuna mamilioni ya fedha za kikundi cha kina mama.
Akizungumza kwenye Kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mkuu huyo wa Wilaya...
10 years ago
StarTV07 Sep
Umoja wa Vijana Geita wazindua kitabu maalumu je wajua kitabu gani?
Marafiki wa Magufuli Kanda ya Ziwa kupitia Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita wamezindua kitabu maalum kiitwacho TINGATINGA ikiwa ni sehemu mojawapo ya kampeni ndani na nje ya mkoa huo kitakachomnadi mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dokta John Magufuli.
Vijana hao wamesema kitabu cha TINGATINGA kitasaidia wananchi kumjua kiundani Dokta Magufuli kwa kuwa kitasambazwa mijini na vijijini wakiwa na imani kuwa watakaosoma na kukielewa kitabu hicho watafanya maamuzi sahihi kwa...
10 years ago
GPL
JALADA LA LOWASA KUWEKWA HADHARANI
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Washtakiwa wahoji lilipo jalada lao
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Mbunge awafungulia jalada vigogo wa Halmashauri Babati