DCI awasilisha jalada la Mbowe kwa DPP
Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(DCI), Isaya Mungulu amesema jalada la upelelezi wa kesi ya mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe limeshakabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kwa ajili ya kumfikisha mahakamani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMy1MvT5X8/XoIAhYdHAJI/AAAAAAALlmc/5XRQOHAP2J84Oj4QhV3bwCSXPUh9i1a3wCLcBGAsYHQ/s72-c/Deci%252Bpic.jpg)
DPP AWASILISHA MAOMBI MAHAKAMA YA MAFISADI KUTAKA AKAUNTI MBILI ZENYE SHILINGI BILIONI 16.7 ZA UPATU ZIWE MALI YA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMy1MvT5X8/XoIAhYdHAJI/AAAAAAALlmc/5XRQOHAP2J84Oj4QhV3bwCSXPUh9i1a3wCLcBGAsYHQ/s400/Deci%252Bpic.jpg)
MKURUGENZI Mashtaka nchini (DPP) Biswalo Mganga amewasilisha maombi katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ( Mahakama ya Mafisadi), ya kuomba kutaifishwa kwa akaunti mbili za USD na moja ya EURO zenye jumla ya Shilingi bilioni 16.7 za upatu kuwa mali ya Serikali kutokana na washtakiwa hao raia wa kigeni kutofika mahakamani
Washtakiwa hao ni raia wa Ujerumani Manon Huebenthal na raia wa Uingereza Frank Ricket ambapo...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Usikinunie kitabu kwa sasabu ya jalada lake
10 years ago
Mtanzania13 Mar
Jalada kesi ya Zitto laitwa kwa Jaji Kiongozi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salam
SAKATA la kufukuzwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), limechukua sura mpya baada ya Jaji Kiongozi, Shabani Lila kuitisha jalada la kesi yake hali inayoonyesha kupitiwa upya kwa kesi hiyo.
Wiki hii Mahakama Kuu ilitupilia mbali ombi la Zitto la kutaka Kamati Kuu ya Chadema kutomjadili na hatimaye kumfukuza uanachama wake baada ya makada wenzake, Samson Mwigamba aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha na Profesa Kitila Mkumbo...
10 years ago
Mwananchi10 Nov
UTATA: Jalada la kesi ladaiwa kuibiwa kwa msajili
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-prqNnENCAF0/XuCNJMlHmbI/AAAAAAACM4g/vj2xMlKAKJwxaKGpvj4X1plq_VVQhZXYACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200609_171932.jpg)
DIWANI WA SINZA CHADEMA AMALIZA UDIWANI WAKE KWA KWENDA 'ROKAPU' NA KUFUNGULIWA JALADA TAKUKURU KWA KUDAIWA KULAMBA FEDHA ZA KINAMAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-prqNnENCAF0/XuCNJMlHmbI/AAAAAAACM4g/vj2xMlKAKJwxaKGpvj4X1plq_VVQhZXYACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200609_171932.jpg)
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sinza kwa tiketi ya Chadema Godfrey Chikandamwali jana, alimaliza udiwani wake kwa kuwekwa 'rokapu' na Polisi na kisha kufunguliwa jalada TAKUKURU, kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori, kwa tuhuma za kukaidi wito wa mkuu huyo wa wilaya na pia kutafuna mamilioni ya fedha za kikundi cha kina mama.
Akizungumza kwenye Kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mkuu huyo wa Wilaya...
11 years ago
Habarileo06 Aug
Anayedaiwa mwanachama Al Shabaab apelekwa kwa DCI
MSHITAKIWA anayekabiliwa na kesi ya kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, Mussa Mtweve, amepelekwa kwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kwa ajili ya mahojiano.
10 years ago
MichuziBALOZI HAMZA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA JORDAN .
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OnJth9CR4W0/VXmsm1kkQGI/AAAAAAAHewo/lNpYm-UXHTQ/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
WAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BUNGENI BAJETI KWA MWAKA 2015/16
![](http://4.bp.blogspot.com/-OnJth9CR4W0/VXmsm1kkQGI/AAAAAAAHewo/lNpYm-UXHTQ/s1600/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s-gOVTibems/VXmsmsgVtSI/AAAAAAAHewk/ilv1poqsouc/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Vojmaj5dsXY/VC7OiguvWtI/AAAAAAAGnoE/nKXntVsFo3U/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
BALOZI DORA MSECHU AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN, AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO SWEDEN NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vojmaj5dsXY/VC7OiguvWtI/AAAAAAAGnoE/nKXntVsFo3U/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ToC96FpSTQY/VC7OjLTenPI/AAAAAAAGnoI/dc9rD2V_H2E/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GmRSNyyE_sA/VC7Pn5vLamI/AAAAAAAGno0/dSLLhZpe15k/s1600/Reception3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iuLfEGPOfC4/VC7PNYdYHqI/AAAAAAAGnos/PRe1mDEgRek/s1600/Humor.jpg)