DPP AWASILISHA MAOMBI MAHAKAMA YA MAFISADI KUTAKA AKAUNTI MBILI ZENYE SHILINGI BILIONI 16.7 ZA UPATU ZIWE MALI YA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMy1MvT5X8/XoIAhYdHAJI/AAAAAAALlmc/5XRQOHAP2J84Oj4QhV3bwCSXPUh9i1a3wCLcBGAsYHQ/s72-c/Deci%252Bpic.jpg)
Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya Jamii.
MKURUGENZI Mashtaka nchini (DPP) Biswalo Mganga amewasilisha maombi katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ( Mahakama ya Mafisadi), ya kuomba kutaifishwa kwa akaunti mbili za USD na moja ya EURO zenye jumla ya Shilingi bilioni 16.7 za upatu kuwa mali ya Serikali kutokana na washtakiwa hao raia wa kigeni kutofika mahakamani
Washtakiwa hao ni raia wa Ujerumani Manon Huebenthal na raia wa Uingereza Frank Ricket ambapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rRQcWY-I3YA/XocEtbD-IcI/AAAAAAALl5Y/j5BQlhASwfcC6OqLrGyxzGLAoFjSOQA9wCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Mahakama yataifisha Bilioni 16.7 za upatu
![](https://1.bp.blogspot.com/-rRQcWY-I3YA/XocEtbD-IcI/AAAAAAALl5Y/j5BQlhASwfcC6OqLrGyxzGLAoFjSOQA9wCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (mahakam ya Mafisadi) imetaifisha zaidi ya Sh bilioni 16.7 zilizokuwa zikimilikiwa na Kampuni ya IMS Marketing Tanzania Limited iliyojihusisha na biashara haramu ya upatu na kuwa mali ya serikali.
Aidha, mahakama hiyo imekataa ombi la Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) alilokuwa akiiomba mahakama itoe amri ya kuamrisha Benki ya Afrika (BOA), kulipa riba ya kipindi chote walichohifadhi fedha...
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mfumo Bora wa Muungano — Serikali Mbili Zenye Ngazi Tatu
TATIZO moja kubwa la mjadala wa muundo wa Muungano ulivyo sasa, ni kuwa kama taifa tunalazimishwa kufikiria kati ya aina mbili tu za muundo – ama serikali mbili zilivyo sasa...
5 years ago
MichuziSerikali yapokea msaada wa shilingi bilioni 14.9
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imepokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 kutoka Global Fund, Airtel Tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa watumishi wa afya na vifaa tiba kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wenye maambukizi ya COVID-19.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo wakati akipokea msaada wa fedha na lita 1,250 za vitakasa mikono ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za...
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tiper yaikabidhi Serikali gawio la zaidi ya shilingi bilioni 1
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servarcius Likwelile (wa pili kushoto) akipokea hundi yyenye thamani y ash. Bilioni moja ktoka TIPER gawio la hisa katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma. Wa kwanza kshoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair, Wa pili kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya TIPER Prof. Abdulkarim Mruma na Wizara ya fedha Kaimu Msajili wa Hazina Elius Mwakabinga (wa kwanza kulia).
Serikali imepokea shilingi bilioni moja kutoka TIPER ikiwa ni gawio...
5 years ago
Bongo514 Feb
Serikali kurejesha deni la shilingi bilioni 3.2 za Shirika la Posta
Serikali imeahidi kuwa italirejeshea Shirika la Posta Tanzania kiasi cha shilingi bilioni 3.2, ambazo zilitumika kuwalipa wastaafu wa Shirika la Posta na Simu la Afrika Mashariki, punde ifikapo tarehe 30, mwezi Juni mwaka huu.
Ahadi hiyo imetolewa Bungeni Mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la nyongeza kutoka kwa Mbunge wa Ludewa, Mhe. Deo Ngalawa (CCM), aliyehoji,
Serikali ilikuwa na mpango gani wa kuwalipa Wastaafu hawa...
11 years ago
Dewji Blog31 May
Serikali yatoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kujenga hospitali ya rufaa Singida
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi wengine wa Mkoa wa Singida kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, wakati Kinana alipokuwa Mkoani Singida kwa ziara ya kikazi ya siku saba.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LHPVeO57LNY/VK4OkfwQ_fI/AAAAAAAG78I/2SJuCLZcbo0/s72-c/110942468.png)
Serikali yatumia shilingi bilioni 881 katika mradi wa REA Awamu ya Pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-LHPVeO57LNY/VK4OkfwQ_fI/AAAAAAAG78I/2SJuCLZcbo0/s1600/110942468.png)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_04731.jpg)
SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI 6.7 BILIONI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA