Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yataifisha Bilioni 16.7 za upatu

Na Karama Kenyunko globu ya jamii. 
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (mahakam ya Mafisadi) imetaifisha  zaidi ya Sh bilioni 16.7 zilizokuwa zikimilikiwa na Kampuni ya IMS Marketing Tanzania Limited  iliyojihusisha na biashara haramu ya upatu na kuwa mali ya serikali.

Aidha, mahakama hiyo imekataa ombi la Mkurugenzi wa Mashitaka nchini  (DPP)  alilokuwa akiiomba mahakama itoe amri ya kuamrisha Benki ya Afrika (BOA), kulipa riba ya kipindi chote walichohifadhi fedha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DPP AWASILISHA MAOMBI MAHAKAMA YA MAFISADI KUTAKA AKAUNTI MBILI ZENYE SHILINGI BILIONI 16.7 ZA UPATU ZIWE MALI YA SERIKALI

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya Jamii.
MKURUGENZI Mashtaka nchini (DPP) Biswalo Mganga amewasilisha maombi katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ( Mahakama ya Mafisadi), ya kuomba kutaifishwa kwa akaunti mbili za USD na moja ya EURO zenye jumla ya Shilingi bilioni 16.7 za upatu kuwa mali ya Serikali kutokana na washtakiwa hao raia wa kigeni kutofika mahakamani
Washtakiwa hao ni  raia wa Ujerumani Manon Huebenthal na raia wa Uingereza Frank Ricket ambapo...

 

10 years ago

Vijimambo

JAMES RUGEMALIRA AIGEUZIA KIBAO SERIKALI AFUNGUA KESI MAHAKAMA KUU KUIDAI SH.BILIONI 398 ZA ESCROW ACCOUNT

Ndugu Rugemalira
Mmiliki wa VIP Engineering, aliyekuwa anamiliki hisa IPTL Ndugu Rugemalira amefungua kesi mahakama kuu akiidai serikali jumla ya Sh. 398 bilion zilizokuwemo/ zinazotakiwa kuwemo katika Escrow Account ya Tegete na zilizolipwa kwa kampuni ya PAP na kuleta mjafala mkubwa bungeni.
Katika madai yake, mwenye hisa hatambui malipo yote yaliyolipwa na serikali kwa kampuni ya PAP kwani kampuni hiyo haikuwa na nyaraka halali kutoka kwa msajili wa makampuni BRELA, Taxe Clearance...

 

11 years ago

TheCitizen

‘Upatu’ - the best deal for opportunists

>Ally sells garden flowers and tree seedlings on Mkwajuni Street in Dar es Salaam. He pockets the modest amount of money he makes from his business and is skeptical about ever risking his hard earned income in a money chain venture such as upatu again.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani wapigiwa upatu Venezuela

Watu wa Venezuela wanapiga kura katika uchaguzi ambao unaonekana kuwa changamoto kubwa zaidi kukabili chama tawala cha Socialist

 

10 years ago

BBCSwahili

Viera apigiwa upatu kumrithi Pellegrini

Patrick Viera anaungwa mkono na wachezaji wengi wa kilabu ya Manchester City kumrithi Manuel Pellegrini iwapo atafutwa kazi

 

10 years ago

GPL

FLORA MVUNGI ADAIWA KUTAPELI HELA ZA UPATU

Hamida Hassan na Gladness Mallya
Mwanadada Flora Mvungi anayeendesha maisha yake kwa kuuza nyago kwenye filamu, hivi karibuni aligandwa na skendo ya kutapeli pesa za upatu za dada aliyefahamika kwa jina la Christina ambaye ilikuwa imefika zamu yake ya kupokea. Staa wa filamu Bongo, Flora Mvungi. Sosi wa habari hii alisema kuwa, Flora baada ya kupokea fedha hizo za upatu aliendelea na shughuli zake kama kawaida lakini ilipofika...

 

9 years ago

Raia Mwema

Upatu, Deci, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!

NIANZE kwa kuomba radhi wasomaji wangu kwamba katika sehemu ya mwisho ya makala yangu ya toleo li

Johnson Mbwambo

 

10 years ago

GPL

SHOGA, UPATU ISIWE CHANZO CHA KUNYANYASA WATOTO WAKO

Jamani mwishowe nitapasuka mdomo kwa kusema sana, mambo mengine mwanamke ni aibu kuyafanya. Mnakuwa kama hamkwenda mkoleni mkafundwa na kufundika, mnakimbilia mambo ya kuiga ndo’ maana ndoa za siku hizi zimekosa baraka, hazina maisha marefu. Jamani hivi wewe mwanamke kichwani kwako kuna ubongo au matope? Kila nikikuangalia sikumalizi kwa mambo ya aibu unayofanya. Kwenye nyumba kuna siri nzito, wanawake tumekuwa tukijijali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwambusi, Omog wapigiwa upatu Tuzo ya Kocha Bora VPL 2013/14

WADAU wa soka nchini wamempigia chapuo Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kuwa ndiye kocha bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2013/14. Mbali na Mwambusi, kocha mwingine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani