Mahakama yataifisha Bilioni 16.7 za upatu
![](https://1.bp.blogspot.com/-rRQcWY-I3YA/XocEtbD-IcI/AAAAAAALl5Y/j5BQlhASwfcC6OqLrGyxzGLAoFjSOQA9wCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Na Karama Kenyunko globu ya jamii.
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (mahakam ya Mafisadi) imetaifisha zaidi ya Sh bilioni 16.7 zilizokuwa zikimilikiwa na Kampuni ya IMS Marketing Tanzania Limited iliyojihusisha na biashara haramu ya upatu na kuwa mali ya serikali.
Aidha, mahakama hiyo imekataa ombi la Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) alilokuwa akiiomba mahakama itoe amri ya kuamrisha Benki ya Afrika (BOA), kulipa riba ya kipindi chote walichohifadhi fedha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMy1MvT5X8/XoIAhYdHAJI/AAAAAAALlmc/5XRQOHAP2J84Oj4QhV3bwCSXPUh9i1a3wCLcBGAsYHQ/s72-c/Deci%252Bpic.jpg)
DPP AWASILISHA MAOMBI MAHAKAMA YA MAFISADI KUTAKA AKAUNTI MBILI ZENYE SHILINGI BILIONI 16.7 ZA UPATU ZIWE MALI YA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMy1MvT5X8/XoIAhYdHAJI/AAAAAAALlmc/5XRQOHAP2J84Oj4QhV3bwCSXPUh9i1a3wCLcBGAsYHQ/s400/Deci%252Bpic.jpg)
MKURUGENZI Mashtaka nchini (DPP) Biswalo Mganga amewasilisha maombi katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ( Mahakama ya Mafisadi), ya kuomba kutaifishwa kwa akaunti mbili za USD na moja ya EURO zenye jumla ya Shilingi bilioni 16.7 za upatu kuwa mali ya Serikali kutokana na washtakiwa hao raia wa kigeni kutofika mahakamani
Washtakiwa hao ni raia wa Ujerumani Manon Huebenthal na raia wa Uingereza Frank Ricket ambapo...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-OktYrnw_Ac8/VKayn4JUWrI/AAAAAAAAl6Q/61WF_06_YXo/s72-c/james%2Brugemalila.jpg)
JAMES RUGEMALIRA AIGEUZIA KIBAO SERIKALI AFUNGUA KESI MAHAKAMA KUU KUIDAI SH.BILIONI 398 ZA ESCROW ACCOUNT
![](http://2.bp.blogspot.com/-OktYrnw_Ac8/VKayn4JUWrI/AAAAAAAAl6Q/61WF_06_YXo/s640/james%2Brugemalila.jpg)
Mmiliki wa VIP Engineering, aliyekuwa anamiliki hisa IPTL Ndugu Rugemalira amefungua kesi mahakama kuu akiidai serikali jumla ya Sh. 398 bilion zilizokuwemo/ zinazotakiwa kuwemo katika Escrow Account ya Tegete na zilizolipwa kwa kampuni ya PAP na kuleta mjafala mkubwa bungeni.
Katika madai yake, mwenye hisa hatambui malipo yote yaliyolipwa na serikali kwa kampuni ya PAP kwani kampuni hiyo haikuwa na nyaraka halali kutoka kwa msajili wa makampuni BRELA, Taxe Clearance...
11 years ago
TheCitizen03 May
‘Upatu’ - the best deal for opportunists
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Upinzani wapigiwa upatu Venezuela
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Viera apigiwa upatu kumrithi Pellegrini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSXrgQe*-cCKl7G-KzeACf6aEUd6qeWszaXIkBAydbreZz34n2fd8wMDVIr6pxpw8ctsAuvv4OBefeAPlyUORvoy/Mvungi.jpg)
FLORA MVUNGI ADAIWA KUTAPELI HELA ZA UPATU
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Upatu, Deci, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!
NIANZE kwa kuomba radhi wasomaji wangu kwamba katika sehemu ya mwisho ya makala yangu ya toleo li
Johnson Mbwambo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYroIhRbPRIFCfBywLV7KJ*IsDdG6lZDybr2Z48nYLsnbCleIYgDwFCeTiqMm*XvY9hLG*a-9EVO6sKrrTVYR5uk/MiriamGiovanelli1920x1080001.jpg?width=650)
SHOGA, UPATU ISIWE CHANZO CHA KUNYANYASA WATOTO WAKO
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Mwambusi, Omog wapigiwa upatu Tuzo ya Kocha Bora VPL 2013/14
WADAU wa soka nchini wamempigia chapuo Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kuwa ndiye kocha bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2013/14. Mbali na Mwambusi, kocha mwingine...