JAMES RUGEMALIRA AIGEUZIA KIBAO SERIKALI AFUNGUA KESI MAHAKAMA KUU KUIDAI SH.BILIONI 398 ZA ESCROW ACCOUNT
![](http://2.bp.blogspot.com/-OktYrnw_Ac8/VKayn4JUWrI/AAAAAAAAl6Q/61WF_06_YXo/s72-c/james%2Brugemalila.jpg)
Ndugu Rugemalira
Mmiliki wa VIP Engineering, aliyekuwa anamiliki hisa IPTL Ndugu Rugemalira amefungua kesi mahakama kuu akiidai serikali jumla ya Sh. 398 bilion zilizokuwemo/ zinazotakiwa kuwemo katika Escrow Account ya Tegete na zilizolipwa kwa kampuni ya PAP na kuleta mjafala mkubwa bungeni.
Katika madai yake, mwenye hisa hatambui malipo yote yaliyolipwa na serikali kwa kampuni ya PAP kwani kampuni hiyo haikuwa na nyaraka halali kutoka kwa msajili wa makampuni BRELA, Taxe Clearance...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Si kweli kwamba VIP Engineering and Marketing limited ya Bw. James Rugemalira imefungua kesi dhidi ya Serikali
Mmiliki kwa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing, James Rugemalira.
Kuna uvumi unazagaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuwa mmiliki wa VIP Enginering and Marketing Limited, “aliyekuwa anamiliki hisa IPTL Ndugu Rugemalira” amefungua kesi Mahakama Kuu akiidai Serikali jumla ya TShs. 398 bilioni.
VIP Engineering and Marketing Limited inapenda kuufahamisha umma kuwa hizi taarifa si za kweli, hakuna kesi yoyote ambayo imefunguliwa na VIP Engineering and Marketing Limited au Bw. James...
9 years ago
Mtanzania18 Nov
Kafulila afungua kesi Mahakama Kuu Tabora
Na Murugwa Thomas, Tabora
ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila kupitia Chama cha NCCR – Mageuzi, amefungua kesi Mahakam Kuu Kanda ya Tabora kupinga ushindi wa Hasna Mwillima wa Chama Cha Mapindunzi (CCM), aliyetangazwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Kafulila amewasilisha pingamizi hilo jana kupitia kwa wakili wake, Daniel Lumenyela, huku akiwa ameambatanisha nakala za fomu za matokeo ya kura ya vituo vyote 382 vya jimbo hilo ambazo...
10 years ago
Michuzi10 Dec
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LtLAdpl--Vs/Xs_KTIlWCYI/AAAAAAALr5E/J1MaQGGTfd0Rjvuh6-UJREewa80feejAACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA NA TAASISI MBILI ZISIZO ZA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-LtLAdpl--Vs/Xs_KTIlWCYI/AAAAAAALr5E/J1MaQGGTfd0Rjvuh6-UJREewa80feejAACLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
Marekebisho katika sheria hizo yalihusu kuweka tafsiri mpya ya maneno Kampuni na Asasi katika sheria husika na pia kuzitaka Asasi zote zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ambazo hazikuwa na malengo ya...
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s72-c/zitto.jpg)
JUST IN: MAHAKAMA KUU imeifutilia mbali kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chadema
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s1600/zitto.jpg)
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifutilia mbali kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kukubali mapingamizi yaliwasilishwa na chama hicho.
Uamuzi huo umetolewa na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za pande zote mbili kuhusu mapingamizi ya Chadema.
Mapema Saa 3:20 asubuhi Jaji Mziray alisoma uamuzi huo mbele ya wanaodaiwa kuwa wanachama huku upande...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Waomba Mahakama kusimamisha kesi ya Escrow
UPANDE wa utetezi katika kesi ya kupokea rushwa ya Sh milioni 323.4 inayomkabili Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma umeiomba Mahakama kusimamisha kesi hadi itakaposikiliza ombi lao.
10 years ago
Vijimambo27 Feb
Chenge akwaa kisiki Escrow, Akimbilia Mahakama Kuu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Chenge-27Feb2015.jpg)
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, jana ‘alikwaa kisiki’ baada ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kutupilia mbali pingamizi lake aliloliwasilisha juzi kuzuia kusikilizwa kwa shauri lake kuhusiana na tuhuma za kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma.
Pamoja na mambo mengine, Chenge, ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, anatuhumiwa kwa kujipatia mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha zilizochotwa...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Kesi za madai katika Mahakama Kuu ya Tanzania