Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waomba Mahakama kusimamisha kesi ya Escrow

UPANDE wa utetezi katika kesi ya kupokea rushwa ya Sh milioni 323.4 inayomkabili Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma umeiomba Mahakama kusimamisha kesi hadi itakaposikiliza ombi lao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mawakili waomba kesi ya Escrow isimamishwe

MAWAKILI wa upande wa utetezi katika kesi mbili za kupokea rushwa ya zaidi ya Sh bilioni 2 kutoka katika akaunti ya Tegeta Escrow, wameiomba Mahakama kusimamisha kesi hizo hadi itakaposikiliza hoja zao.

 

10 years ago

Habarileo

Waomba mahakama ikatae ushahidi kesi ya bosi Tanesco

UPANDE wa Utetezi katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando umeiomba mahakama isipokee nakala ya ripoti ya kamati ya tathmini ya zabuni ya Santa Clara Supplies kama sehemu ya ushahidi wa upande wa jamhuri.

 

10 years ago

Vijimambo

JAMES RUGEMALIRA AIGEUZIA KIBAO SERIKALI AFUNGUA KESI MAHAKAMA KUU KUIDAI SH.BILIONI 398 ZA ESCROW ACCOUNT

Ndugu Rugemalira
Mmiliki wa VIP Engineering, aliyekuwa anamiliki hisa IPTL Ndugu Rugemalira amefungua kesi mahakama kuu akiidai serikali jumla ya Sh. 398 bilion zilizokuwemo/ zinazotakiwa kuwemo katika Escrow Account ya Tegete na zilizolipwa kwa kampuni ya PAP na kuleta mjafala mkubwa bungeni.
Katika madai yake, mwenye hisa hatambui malipo yote yaliyolipwa na serikali kwa kampuni ya PAP kwani kampuni hiyo haikuwa na nyaraka halali kutoka kwa msajili wa makampuni BRELA, Taxe Clearance...

 

10 years ago

Habarileo

Kesi kusimamisha Bunge Maalum yatupwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupa ombi la kusimamisha vikao vya Bunge la Katiba, vinavyoendelea mjini Dodoma, lililowasilishwa na Mwanahabari Said Kubenea.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI MAOMBI YA PINGAMIZI LA KUSIMAMISHA BUNGE LA KATIBA

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii
MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam leo imetupilia mbali maombi ya pingamizi la awali la kusimamisha  Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma, iliyofunguliwa na  Mwandishi wa Habari Said Kubenea, kwa kuwa wametumia kifungu cha sheria kisicho sahihi.
Kadhalika, mahakama hiyo imetupilia mbali pingamizi hilo la awali, kwa kuwa mlalamikaji ametumia kifungu cha sheria namba 2 kidogo cha (2) (JALA) ambacho hakina mamlaka ya kufungua maombi hayo...

 

9 years ago

StarTV

 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo

Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.

Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.

Baada ya uchaguzi mkuu...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mawakili waomba kesi ya ugaidi ifutwe


NA MWANDISHI WETU
MAWAKILI wanaowatetea viongozi wa Jumuia ya Uamsho Zanzibar wameiomba mahakama kuiondoa hati ya mashitaka ya ugaidi dhidi  ya wateja wao.
Sheikh FArid Hadi Ahmed na wenzake,  wanakabiliwa na mashitaka ya kula njama, kuwaingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi,  kukubaliana kuwaingiza Sadick Absaloum na Farah Omary ili washiriki vitendo.
Ombi hilo liliwasilishwa jana, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambako ulinzi uliimarishwa kwa kuwepo askari wengi wakiwemo...

 

10 years ago

Habarileo

Washitakiwa kesi ya Mvungi waomba kusikilizwa

WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi wameiomba Mahakama iwape haki ya kuwasikiliza.

 

5 years ago

Michuzi

UPANDE WA MASHTAKA KATIKA KESI YA LISSU WAOMBA SIKU 14

Mdhamini wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu mwenye suti ya Kaki akitoka mahakama baada shauri lao maombi yao kuomba mahakam itoe amri ya kumkamata kuahirishwa. Kushoto ni wakili wake Nyaronyo Kicheele
UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Singida Mjini, Tundu Lisu umeiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kuwapatia muda wa wiki mbili (Siku 14 ) kwa ajili ya  kupitia na kuchambua maombi ya wadhamini wa mshtakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani