Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani wapigiwa upatu Venezuela

Watu wa Venezuela wanapiga kura katika uchaguzi ambao unaonekana kuwa changamoto kubwa zaidi kukabili chama tawala cha Socialist

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwambusi, Omog wapigiwa upatu Tuzo ya Kocha Bora VPL 2013/14

WADAU wa soka nchini wamempigia chapuo Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kuwa ndiye kocha bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2013/14. Mbali na Mwambusi, kocha mwingine...

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washinda uchaguzi Venezuela

Tume ya uchaguzi nchini Venezuela imeuthibitisha muungano wa upinzani kushinda viti vingi vya ubunge nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ushindi mkubwa kwa upinzani Venezuela

Upinzani nchini Venezuela umeshinda wingi wa viti bungeni kwa mara ya kwanza tangu chama cha kisoshiolisti kiingie madarakani chini ya uongozi wa Hugo Chavez.

 

10 years ago

Habarileo

Uvuvi wa bahari kuu wapigiwa debe

Amina Iddi MabroukKAMATI ya Uvuvi Mifugo na Utalii ya Baraza la Wawakilishi imeitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuharakisha kuanzisha Uvuvi wa Bahari Kuu ambao utasaidia kuongeza mapato kwa wananchi na taifa kwa kuvuna rasilimali iliopo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali wapigiwa debe kupata mikopo

Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA), kimelitaka Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido) liwape mbinu wajasiriamali wadogo ili waweze kupata mikopo katika taasisi za fedha.

 

10 years ago

Mwananchi

Wahitimu wa chuo cha Must wapigiwa debe la ajira

Wamiliki wa viwanda na kampuni nchini wameshauriwa kuwasiliana na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Must) kama wanahitaji mafundi mchundo na wahandisi ili waweze kuwapata vijana wenye elimu sahihi.

 

11 years ago

TheCitizen

‘Upatu’ - the best deal for opportunists

>Ally sells garden flowers and tree seedlings on Mkwajuni Street in Dar es Salaam. He pockets the modest amount of money he makes from his business and is skeptical about ever risking his hard earned income in a money chain venture such as upatu again.

 

5 years ago

Michuzi

Mahakama yataifisha Bilioni 16.7 za upatu

Na Karama Kenyunko globu ya jamii. 
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (mahakam ya Mafisadi) imetaifisha  zaidi ya Sh bilioni 16.7 zilizokuwa zikimilikiwa na Kampuni ya IMS Marketing Tanzania Limited  iliyojihusisha na biashara haramu ya upatu na kuwa mali ya serikali.

Aidha, mahakama hiyo imekataa ombi la Mkurugenzi wa Mashitaka nchini  (DPP)  alilokuwa akiiomba mahakama itoe amri ya kuamrisha Benki ya Afrika (BOA), kulipa riba ya kipindi chote walichohifadhi fedha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viera apigiwa upatu kumrithi Pellegrini

Patrick Viera anaungwa mkono na wachezaji wengi wa kilabu ya Manchester City kumrithi Manuel Pellegrini iwapo atafutwa kazi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani