Uvuvi wa bahari kuu wapigiwa debe
KAMATI ya Uvuvi Mifugo na Utalii ya Baraza la Wawakilishi imeitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuharakisha kuanzisha Uvuvi wa Bahari Kuu ambao utasaidia kuongeza mapato kwa wananchi na taifa kwa kuvuna rasilimali iliopo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Wajasiriamali wapigiwa debe kupata mikopo
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Wahitimu wa chuo cha Must wapigiwa debe la ajira
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CrRXW921Kxo/U6F1c-dq4MI/AAAAAAAFrfg/umV3lM9-SwY/s72-c/unnamed+(16).jpg)
kiasi kingine kikubwa cha gesi chagundulika bahari kuu Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-CrRXW921Kxo/U6F1c-dq4MI/AAAAAAAFrfg/umV3lM9-SwY/s1600/unnamed+(16).jpg)
Ugunduzi huu unahusisha kisima cha Piri-1 ambapo kiasi kilichopatikana kinakadiriwa kufikia trilioni mbili mpaka tatu za ujazo wa gesi asilia yaani trillion cubic feet (tcf) kwa kiingereza.
Ugunduzi huu unafanya jumla ya ujazo wa gesi iliyogundulika na washirika hawa kufikia takribani tcf 20 kwenye kitalu namba 2 ambapo washirika hawa wanafanya shughuli za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sRaHQToOD88/VRm9pLBjihI/AAAAAAAHOdQ/7D5s_kWcI6E/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Statoil yafanya ugunduzi wa nane wa gesi asilia katika Bahari Kuu ya Tanzania
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene amebainisha hayo kwenye mkutano na Waandishi wa Habari mjini Dodoma. Baada ya kuthibitishwa na Makamu wa Rais wa Statoil, Nick Maden pamoja na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
“ugunduzi huo wa gesi...
9 years ago
StarTV17 Nov
Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja
Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.
Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.
Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, na nchi za awali kabisa kulitumia zao hili zinatajwa kuwa...
11 years ago
Michuzi07 Feb
News alert: watu 12 raia wa iran na pakistani kizimbani kwa kukutwa na 'sembe' kilo 200.5 bahari kuu
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s72-c/AA-7-1024x576.jpg)
NAIBU WAZIRI ULEGA AWATAKA MAAFISA UVUVI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA SEKTA YA UVUVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s640/AA-7-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/AA-8-1024x576.jpg)