Statoil yafanya ugunduzi wa nane wa gesi asilia katika Bahari Kuu ya Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-sRaHQToOD88/VRm9pLBjihI/AAAAAAAHOdQ/7D5s_kWcI6E/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMASerikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imetangaza ugunduzi wa gesi asilia katika Miamba ya Mchanga kwenye kisima kinachochimbwa na Statoil cha Mdalasini-1 kwenye bahari kuu ya Tanzania.
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene amebainisha hayo kwenye mkutano na Waandishi wa Habari mjini Dodoma. Baada ya kuthibitishwa na Makamu wa Rais wa Statoil, Nick Maden pamoja na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
“ugunduzi huo wa gesi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CrRXW921Kxo/U6F1c-dq4MI/AAAAAAAFrfg/umV3lM9-SwY/s72-c/unnamed+(16).jpg)
kiasi kingine kikubwa cha gesi chagundulika bahari kuu Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-CrRXW921Kxo/U6F1c-dq4MI/AAAAAAAFrfg/umV3lM9-SwY/s1600/unnamed+(16).jpg)
Ugunduzi huu unahusisha kisima cha Piri-1 ambapo kiasi kilichopatikana kinakadiriwa kufikia trilioni mbili mpaka tatu za ujazo wa gesi asilia yaani trillion cubic feet (tcf) kwa kiingereza.
Ugunduzi huu unafanya jumla ya ujazo wa gesi iliyogundulika na washirika hawa kufikia takribani tcf 20 kwenye kitalu namba 2 ambapo washirika hawa wanafanya shughuli za...
11 years ago
Zitto Kabwe, MB17 Jul
MKATABA WA GESI WA STATOIL NA TANZANIA
MKATABA WA GESI WA STATOIL NA TANZANIA
Swali kwa TPDC: Kwanini Makubaliano ni tofauti na Mkataba Elekezi (Model PSA)?
Baada ya kuvuja kwa Mkataba wa kutafuta na kuzalisha Gesi Asilia (PSA) kati ya Serikali kupitia TPDC na Kampuni ya Norway ya StatOil na baada ya baadhi ya wachambuzi kuhoji kuhusu mkataba huo, Shirika la TPDC limetoa maelezo yake. Sio mara moja, sasa ni mara ya tatu. Kimsingi TPDC wanasema wachambuzi waliochambua nyongeza hiyo ya Mkataba hawana uelewa wa mambo haya na...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Ugunduzi wa gesi: Tanzania tunajifunza nini kwa Norway
10 years ago
Michuzi13 Oct
10 years ago
Michuzi10 Feb
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s72-c/picha%2B(smz).jpg)
Maafisa waandamizi wakiwa China katika mafunzo ya muda mfupi ya maendeleo ya mafuta na gesi asilia.
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s640/picha%2B(smz).jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/CH2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
Taasisi ya UONGOZI yaandaa warsha ya wadau wa Serikali katika usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Johansen Bukwali akisoma hotuba ya ufunguzi wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia kwa niaba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi -TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia katika ukumbi wa hoteli ya NAF Beach mkoani Mtwara.
Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera kutoka Taasisi ya UONGOZI Bw. Dennis Rweyemamu akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja wakati wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na...
10 years ago
Dewji Blog06 May
Balozi Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
Afisa Mtendaji Mkuu wa UONGOZI Institute...
10 years ago
Michuzi17 Apr