Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushindi mkubwa kwa upinzani Venezuela

Upinzani nchini Venezuela umeshinda wingi wa viti bungeni kwa mara ya kwanza tangu chama cha kisoshiolisti kiingie madarakani chini ya uongozi wa Hugo Chavez.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani wapata ushindi mkubwa Poland

Chama cha Conservative Law and Justice cha Poland kimepata ushindi mkubwa zaidi kuwahi kupatikana tangu mwaka wa 1989.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washinda uchaguzi Venezuela

Tume ya uchaguzi nchini Venezuela imeuthibitisha muungano wa upinzani kushinda viti vingi vya ubunge nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani wapigiwa upatu Venezuela

Watu wa Venezuela wanapiga kura katika uchaguzi ambao unaonekana kuwa changamoto kubwa zaidi kukabili chama tawala cha Socialist

 

9 years ago

BBCSwahili

Ushindi mkubwa kwa niaba ya paka Uturuki

Mwanamke nchini Uturuki ameshinda kesi dhidi ya watu waliotaka kumfukuza paka wake kutoka kwa nyumba ambayo yeye amekuwa akiishi kama mpangaji.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa

01

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.

Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.

Katibu Mkuu wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je ushindi wa upinzani Malawi una maana gani kwa demokrasia Afrika?

Uchaguzi huu wa Malawi unairejesha tena nchi hiyo katika njia ya matumaini panapohusika suala zima la demokrasia na utawala bora.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mhe. Kombani awapongeza wanamichezo OR-MUU kwa ushindi mkubwa

IMG_5882

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (Mb) akikabidhiwa kombe la ubingwa wa Mpira wa Pete la Mei Mosi 2014 kutoka kwa Kapteni wa timu Elizabeth Fusi katika hafla fupi aliyoiandaa kuwapongeza mabingwa hao mapema leo ukumbi wa Utumishi. (Picha Na. Happiness Shayo).

Na Mary Mwakapenda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR MUU), Mhe. Celina O. Kombani amesema michezo ni sehemu ya maisha na hujenga afya bora hivyo kuleta...

 

10 years ago

Michuzi

DKT. MAGUFULI AWAPONGEZA CCM CHATO KWA USHINDI MKUBWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwasalimia baadhi ya Wajumbe waa Chama cha Mapinduzi CCM waliofika katika hafla ya kupongezwa baada ya kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akihutubia mamia wa wanachama wa CCM wilaya ya Chato waliojitokeza katika mkutano huo wa kupongezana.Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli...

 

11 years ago

BBCSwahili

Chama cha ANC chapata ushindi mkubwa

Tume ya uchaguzi nchini Afrika kusini imetangaza matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya jumatano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani