Mhe. Kombani awapongeza wanamichezo OR-MUU kwa ushindi mkubwa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akikabidhiwa kombe la ubingwa wa Mpira wa Pete la Mei Mosi 2014 kutoka kwa Kapteni wa timu Elizabeth Fusi katika hafla fupi aliyoiandaa kuwapongeza mabingwa hao mapema leo ukumbi wa Utumishi. (Picha Na. Happiness Shayo).
Na Mary Mwakapenda
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR MUU), Mhe. Celina O. Kombani amesema michezo ni sehemu ya maisha na hujenga afya bora hivyo kuleta...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI AWAPONGEZA CCM CHATO KWA USHINDI MKUBWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Ushindi mkubwa kwa upinzani Venezuela
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Ushindi mkubwa kwa niaba ya paka Uturuki
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.
Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.
Katibu Mkuu wa...
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Upinzani wapata ushindi mkubwa Poland
11 years ago
BBCSwahili11 May
Chama cha ANC chapata ushindi mkubwa
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Maalim Seif aitabiria CUF ushindi mkubwa
10 years ago
Bongo501 Dec
Mwana FA: Makampuni tusaidieni kuufanya muziki wetu uwe mkubwa, ni baada ya ushindi wa Diamond
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja
Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.
Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba.
Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...