Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maalim Seif aitabiria CUF ushindi mkubwa

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema upepo wa kisiasa unakivumia vizuri chama chake na ana matumaini Uchaguzi Mkuu ujao kitapata viti 18 vya uwakilishi katika ngome ya CCM Unguja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi rahisi CUF: Maalim Seif na timu ya ushindi 2015

>Ni uamuzi wa kikatiba uliofanywa na Chama cha Wananchi (CUF) kufanya mkutano wa sita wa taifa kwa siku tano uliomalizika wiki iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Ushindi wangu hautachezewa

>Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad jana alichukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais wa Zanzibar kwa mara ya tano huku akisema ushindi wake hautachezewa na mtu.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif atoboa siri za ushindi wake

Mgombea Urais kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa mara tu baada ya kura kuhesabiwa watayapata matokeo ya uchaguzi mkuu na kuyatangaza kabla hata tume ya uchaguzi kuyapata. Amesema wameandaa system ya […]

The post Maalim Seif atoboa siri za ushindi wake appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar.

Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. NA MWINYI SADALLAH 23rd October 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia cha Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama chake hakitakubali kuporwa ushindi katika uchaguzi mkuu wa […]

The post Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Habarileo

Maalim Seif aita washindani CUF

 Maalim Seif Sharif HamadKATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amerejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho, na kusisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwaunganisha Wazanzibari.

 

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF AZUNGUMUZA NA WAZEE CUF

Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wazee wa CUF katika ukumbi wa salama hoteli ya Bwawani.Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wazee wa CUF katika ukumbi wa salama hoteli ya Bwawani.Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Mhe. Nassor Mazrui, akizungumza na wazee wa CUF katika ukumbi wa salama hoteli ya Bwawani.Baadhi ya wazee wa CUF wa Wilaya sita za Unguja waliohudhuria mkutano huo (picha na Hassan Hamad, OMKR)

 

10 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF AZUNGUMZA NA WAZEE WA CUF

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wazee wa chama hicho (hawapo pichani) katika ukumbi wa salama hoteli ya Bwawani,Mjini Unguja,Zanzibar. Baadhi ya wazee wa CUF wa Wilaya sita za Unguja waliohudhuria mkutano huo (picha na Hassan Hamad, OMKR)

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maalim Seif ajivunia mafanikio CUF

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema mafanikio na changamoto katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, viwe vitendea kazi kwa uongozi mpya utakaopatikana baada ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lipumba, Maalim Seif waongoza tena CUF

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amechaguliwa tena kuendelea na wadhifa huo. Ingawa matokeo kamili ya uchaguzi huo yanatarajiwa kutangazwa leo, lakini taarifa za awali tulizozipata wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani