Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwana FA: Makampuni tusaidieni kuufanya muziki wetu uwe mkubwa, ni baada ya ushindi wa Diamond

Wasanii mbalimbali wakubwa na wadogo wameendelea kumpongeza Diamond Platnumz kwa ushindi mkubwa alioupata Jumamosi iliyopita baada ya kunyakua tuzo tatu za Channel O (CHOAMVA). Kupitia Instagram Mwana FA ameandika jinsi anavyouchukulia kwa uzito ushindi huo wa Platnumz pamoja na ushauri wake kwa makampuni na wadau katika kuwekeza kwenye muziki. “Sawa…nilikuwa nangoja woooote mmalize ili mnisikilize […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tunaweza kuufanya mwaka 2014 uwe wa heri

HII ni makala yangu ya kwanza ya Wazo Jepesi kwa mwaka huu. Sikuweza kuandika makala kwa Jumapili zilizotangulia kwa sababu zilizokuwa juu ya uwezo wangu. Kwangu basi hii ni makala...

 

11 years ago

Mwananchi

Kuufanya mwili wako uwe na umbile zuri

Watu wengi hupendelea kuwa na maumbo fulani, hasa yale ambayo wengi wanadhani yanavutia mbele za watu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa

01

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.

Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.

Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Heri Muziki-Nchi Yetu (Muziki Wetu)

Huu wimbo unahusu amani, upendo, uhuru na pia kujivunia na kusherekea utaifa wetu
Artist Name: Heri MuzikiSong Name: Nchi Yetu (Muziki wetu)Produced by: MswakiSongwriters: Adam Kaps, KT, Heri Muziki & Mswaki
Download Link :http://hu.lk/949infc12pvk
attached are1. Nchi Yetu (Muziki wetu)2. Song cover (artwork)3. Promo pic4. Nchi Yetu (Muziki wetu)

 

9 years ago

GPL

MPOTO: NATAKA MSIBA WANGU UWE MKUBWA

Imelda mtema
Dah! Mwanamuziki mahiri wa mashairi ya kughani Bongo, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ amefungua kinywa na kusema kuwa anataka siku akifa msiba wake uwe mkubwa.  Mwanamuziki mahiri wa mashairi ya kughani Bongo, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’. Akizungumza na GlobalTV Online wikiendi iliyopita, Mpoto alisema kuwa siku zote anafikiria sana ni jinsi gani aongeze bidii kwenye kila jambo analofanya ili azidi kufahamika zaidi....

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu

Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.

Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz

Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ANNASIMA MNUBI: Kuwa mjasiriamali si lazima uwe na mtaji mkubwa

Ni wazi kuwa hali ngumu ya kiuchumi ndiyo iliyowafanya wanawake wengi wakajiingiza katika ujasiriamali na kuachana na dhana ya utegemezi kwa wanaume wao kama ilivyokuwa awali. Wanawake kwa sasa wamekuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Redio na TV zitawalipa wasanii, asilimia 60 ya muziki utaochezwa lazima uwe wa nyumbani – Nape

Waziri Nape akihojiwa

Wakati baadhi ya wasanii na wadau mbalimbali wa burudani nchini wakiendelea kuwa na hofu juu ya mfumo mpya unaovitaka vituo vya redio na runinga kuwalipa wasanii mirahaba inayotokana na kucheza kazi zao, serikali imesema imeunda sheria ambayo itavifanya vishindwe kuepuka kucheza nyimbo za wasanii wa ndani.

Waziri Nape akihojiwa

Akizungumza na Bongo5 Jumanne hii kwenye uzinduzi wa filamu ya ‘Home Coming’ Mlimani City jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye alisema...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE NA MWANA FA WATEMBELEA UBALOZI WETU MAREKANI

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) akizungumza na mwanamuziki mkongwe wa Bongo Flava, Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA wakati mwanamuziki huyo alipokutana na Waziri huyo jijini Washington DC katika Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Waziri Chikawe yupo nchini humo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani, na kwa upande wa Mwana FA yupo nchini Marekani kwa ajili ya matembezi yake binafsi hata hivyo alienda ubalozini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani