Jalada kesi ya Zitto laitwa kwa Jaji Kiongozi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salam
SAKATA la kufukuzwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), limechukua sura mpya baada ya Jaji Kiongozi, Shabani Lila kuitisha jalada la kesi yake hali inayoonyesha kupitiwa upya kwa kesi hiyo.
Wiki hii Mahakama Kuu ilitupilia mbali ombi la Zitto la kutaka Kamati Kuu ya Chadema kutomjadili na hatimaye kumfukuza uanachama wake baada ya makada wenzake, Samson Mwigamba aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha na Profesa Kitila Mkumbo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TLIAKqIh76w/XoH-DNlg-JI/AAAAAAALlmI/N6wrPwBif1sb2XwzFMMELxsh9Q1sV7C8gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
JAJI KIONGOZI ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO
Na Magreth Kinabo- MahakamaJaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum. “Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...
10 years ago
Mwananchi10 Nov
UTATA: Jalada la kesi ladaiwa kuibiwa kwa msajili
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Jaji Kiongozi aagiza kesi zote za uchaguzi ziishe Machi mwakani
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Zitto Kabwe: Mahakama yamkuta na kesi ya kujibu kiongozi wa ACT-Wazalendo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CaSOybLRPdw/XnJKuo0BrvI/AAAAAAALkUc/OW43cid0J7kdyJiJD5_7NktsRzSziX9BACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200316-WA0070.jpg)
JAJI KIONGOZI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA JAJI MSTAAFU MUSHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-CaSOybLRPdw/XnJKuo0BrvI/AAAAAAALkUc/OW43cid0J7kdyJiJD5_7NktsRzSziX9BACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200316-WA0070.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xLiFUuXCFJ8/XnJKu7g_35I/AAAAAAALkUk/P8U595vEeloIgViJ9NWxVfNOlcSfw18dwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200316-WA0068.jpg)
11 years ago
Michuzi20 Jul
11 years ago
Habarileo21 Jul
Jaji Lila awa Jaji Kiongozi
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Jaji Shabani Lila (53) kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu kuanzia leo. Jaji Lila anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Fakih Jundu, ambaye anastaafu kwa mujibu wa sheria.
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Jaji Kiongozi atoa somo kwa watumishi wa mahakama, vyama vya waajiri na waajiriwa
Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Shaaban Lila akifungua mkutano maalum wa watendaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi, Chama cha waajiri Tanzania (ATE) na Wafanyakazi (TUCTA) leo jijini Dar es salaam. Mkutano huo unalenga kuangalia na kutafuta majibu ya changamoto mbalimbali zinazohusu maslahi ya wafanyakazi na mashauri yanayopelekwa mahakama Kuu Divisheni ya Kazi nchini.
Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Shaaban Lila akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-20aoscxM448/VDXzCPt5nrI/AAAAAAAGoxk/h613Mksu1Cs/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
magic fm yaongea na jaji kiongozi
![](http://1.bp.blogspot.com/-20aoscxM448/VDXzCPt5nrI/AAAAAAAGoxk/h613Mksu1Cs/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1alIR-d5pyQ/VDXzCWdOWCI/AAAAAAAGoxo/-hm2PXLbIJM/s1600/unnamed%2B(35).jpg)