JAJI KIONGOZI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA JAJI MSTAAFU MUSHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-CaSOybLRPdw/XnJKuo0BrvI/AAAAAAALkUc/OW43cid0J7kdyJiJD5_7NktsRzSziX9BACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200316-WA0070.jpg)
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzani, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi (wa kwanza kushoto) akiwaongoza baadhi ya Majaji wa Mahakama ya Tanzania kuubeba mwili wa marehemu , Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Nathaniel Melkizedek Mushi, kwa ajili ya mazishi, alifariki dunia Machi 11, mwaka huu nyumbani kwake Mailisita Moshi Mjini, ambapo pia mazishi yake yalifanyika katika eneo hilo, mwanzoni mwa wiki hii mkoani Kilimanjaro.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzani, Mhe....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mama Salma Kikwete aongoza mazishi ya Jaji Mstaafu Lewis Makame, Tanga
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiaga mwili wa Marehemu Jaji Lewis Makame kijijini...
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MEJA JENERALI HERMAN LUPOGO
PICHA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-InD53LTYAXY/U_c3m3cvEKI/AAAAAAAGBak/iGWOF2uzkRk/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
MH. PINDA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA JAJI MAKAME
![](http://4.bp.blogspot.com/-InD53LTYAXY/U_c3m3cvEKI/AAAAAAAGBak/iGWOF2uzkRk/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nLEeq3YF1A0/U_c3m9etkYI/AAAAAAAGBac/aC_rmD1iatU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Pinda aongoza waombolezaji kutoa heshima za mwisho kwa Jaji Makame
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimian na Mawaziri Wakuu, Wastaafu, Frederick Sumaye na Jaji Joseph Warioba (wapili kulia) kabla ya kuzungumza kwa niaba ya serikali na kutoa heshima za mwisho kwa Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, marehemu Jaji Lewis Makame kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam August 22, 2014. Kulia ni jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na jaji Mkuu Mohamed...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
11 years ago
Michuzi20 Jul
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwM*ZBj1MbycYnzZQKxKCyerSssfT0s2nvRZvsfMVPtq6uoVeeMCb-pYfAZK4C9-LH64D2HKiaU0tYw0xMgZcdk1/MAZISHIMAKAME4.jpg?width=650)
MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME
11 years ago
Habarileo21 Jul
Jaji Lila awa Jaji Kiongozi
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Jaji Shabani Lila (53) kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu kuanzia leo. Jaji Lila anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Fakih Jundu, ambaye anastaafu kwa mujibu wa sheria.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q1Eu1xgl56Y/U_jfzh-q1TI/AAAAAAAGB44/xdYaTYn6dXU/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME KIJIJINI KWAKE HUKO TONGWE - MUHEZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q1Eu1xgl56Y/U_jfzh-q1TI/AAAAAAAGB44/xdYaTYn6dXU/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UtAjeqx2E10/U_jfz6E830I/AAAAAAAGB40/s6_bsM0bCEc/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UHsldDgAQ7w/U_jf1FkeA-I/AAAAAAAGB5A/QOTMFxx6A2A/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PTfnirVSWHM/U_jf1WUeaYI/AAAAAAAGB5E/DY56_pU0hV4/s1600/unnamed%2B(63).jpg)