Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama Salma Kikwete aongoza mazishi ya Jaji Mstaafu Lewis Makame, Tanga

IMG_8851

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza  kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.

IMG_8853

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza  kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.

IMG_8869

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiaga mwili wa Marehemu Jaji Lewis Makame kijijini...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME

Mama Salma Kikwete akimsindikiza Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary Makame kuweka udongo kwenye kaburi la mumewe. Mama Salma Kikwete akitoa salamu ya pole kwa wafiwa mara baada ya shughuli ya utiaji udongo kaburini kukamilika.…

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME KIJIJINI KWAKE HUKO TONGWE - MUHEZA

 Mama Salma Kikwete akimsindikiza Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary Makame kuweka udongo kwenye kaburi. Mama Salma Kikwete akiwa na  Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary Makame  Mama Salma Kikwete akitoa salamu ya pole kwa wafiwa mara baada ya shughuli ya utiaji udongo kaburini kukamilika. Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary akiweka shada la maua kwenye kaburi la mume wake Marehemu Jaji Lewis Makame wakati nwa ibada ya mazishi iliyofanyika huko Tongwe katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete atoa pole nyumbani kwa marehemu Jaji Mstaafu Lewis Makame

jm1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki  katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2014.

jm2

Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atumia Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Lewis Makame



Marehemu Jaji Mstaafu,Lewis Makame enzi za uhai wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za  Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission (NEC) kufuatia taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame kilichotokea katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014. 
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WATOA POLE KWENYE MSIBA WA MAREHEMU JAJI MAKAME

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweha saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki  katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe Agosti 19, 2014. Mama Salma Kikwete akiweha saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji...

 

10 years ago

Michuzi

RATIBA YA KUUAGA MWILI WA JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI,MH. LEWIS MAKAME

RATIBA YA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MWENYEKITI MSTAAFU WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI   MHE. JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI LEWIS MAKAME KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE TAREHE 22 AGOSTI, 2014.


MUDA

TUKIO

MHUSIKA

3.00- 3.30 ASUBUHI

WANANCHI NA WATUMISHI KUWASILI

KAMATI YA MAZISHI

3.30 – 4.00 ASUBUHI

VIONGOZI WASTAAFU, MAWAZIRI, MAJAJI WASTAAFU , VIONGOZI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, SERIKALI, TAASISI NA VYAMA VYA SIASA KUWASILI

KAMATI YA MAZISHI

4.00 -4.15 ASUBUHI

WAH....

 

10 years ago

GPL

JAJI LEWIS MAKAME KUZIKWA PONGWE, TANGA JUMAMOSI

Marehemu Jaji Mstaafu  Lewis Makame enzi za uhai wake.
Nyumbani kwa marehemu eneo la Masaki, Dar es Salaam.…

 

10 years ago

GPL

RATIBA YA KUUAGA MWILI WA JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI, MH. LEWIS MAKAME LEO

RATIBA YA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MWENYEKITI MSTAAFU WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI LEWIS MAKAME KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE TAREHE 22 AGOSTI, 2014.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani