MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME KIJIJINI KWAKE HUKO TONGWE - MUHEZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q1Eu1xgl56Y/U_jfzh-q1TI/AAAAAAAGB44/xdYaTYn6dXU/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
Mama Salma Kikwete akimsindikiza Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary Makame kuweka udongo kwenye kaburi.
Mama Salma Kikwete akiwa na Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary Makame
Mama Salma Kikwete akitoa salamu ya pole kwa wafiwa mara baada ya shughuli ya utiaji udongo kaburini kukamilika.
Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary akiweka shada la maua kwenye kaburi la mume wake Marehemu Jaji Lewis Makame wakati nwa ibada ya mazishi iliyofanyika huko Tongwe katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwM*ZBj1MbycYnzZQKxKCyerSssfT0s2nvRZvsfMVPtq6uoVeeMCb-pYfAZK4C9-LH64D2HKiaU0tYw0xMgZcdk1/MAZISHIMAKAME4.jpg?width=650)
MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME
10 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mama Salma Kikwete aongoza mazishi ya Jaji Mstaafu Lewis Makame, Tanga
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiaga mwili wa Marehemu Jaji Lewis Makame kijijini...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s72-c/1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI JOHN KOMBA KIJIJINI KWAKE LITUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LzHplbpto68/VPX8ybFLTEI/AAAAAAAAXaU/-WA0Xp_szPU/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gCx3n0hvDVw/VPX80ka9eqI/AAAAAAAAXac/OnXYPz4U0io/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4OFHzLJ7-Xo/VPX85s0qLoI/AAAAAAAAXak/glmFHfCI9CI/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5qWldsM4JQc/VPX9CojehAI/AAAAAAAAXas/UeW92pNm57Y/s1600/9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-blW4I-bz-gk/U_P8Kt7z0rI/AAAAAAAGA0c/eA3z4odY9oU/s72-c/jm1.jpg)
RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WATOA POLE KWENYE MSIBA WA MAREHEMU JAJI MAKAME
![](http://2.bp.blogspot.com/-blW4I-bz-gk/U_P8Kt7z0rI/AAAAAAAGA0c/eA3z4odY9oU/s1600/jm1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3F2Gq5t_O8s/U_P8DbZRnkI/AAAAAAAGA0M/sUV2YHaVXYk/s1600/jm2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzeimoV0jObc4t5gbqdCcQGwWDvUc7a2RCYfsIlZx-38HS4az1ZlS8VdHx3pQtTF4oVzCPxcVbY0PaNM4ZVzbEhT/1jajilewis.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA JAJI LEWIS MAKAME
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Rais Kikwete atoa pole nyumbani kwa marehemu Jaji Mstaafu Lewis Makame
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2014.
Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s72-c/LewisJaji.jpg)
Rais Kikwete atumia Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Lewis Makame
![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s1600/LewisJaji.jpg)
Marehemu Jaji Mstaafu,Lewis Makame enzi za uhai wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission (NEC) kufuatia taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame kilichotokea katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za...
10 years ago
MichuziRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba,kijijini lituhi leo
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI DAMIANO KOMBA KIJIJINI LITUHI LEO