Jaji Kiongozi aagiza kesi zote za uchaguzi ziishe Machi mwakani
Majaji na mahakimu kote nchini wameagizwa kumaliza kesi zote zinazohusiana na masuala ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, ifikapo mwishoni mwa Machi 2016
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Oct
JK aagiza changamoto daraja Kigamboni ziishe
RAIS Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, jana, na kuagiza changamoto zilizoainishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujamalizika.
10 years ago
Mtanzania13 Mar
Jalada kesi ya Zitto laitwa kwa Jaji Kiongozi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salam
SAKATA la kufukuzwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), limechukua sura mpya baada ya Jaji Kiongozi, Shabani Lila kuitisha jalada la kesi yake hali inayoonyesha kupitiwa upya kwa kesi hiyo.
Wiki hii Mahakama Kuu ilitupilia mbali ombi la Zitto la kutaka Kamati Kuu ya Chadema kutomjadili na hatimaye kumfukuza uanachama wake baada ya makada wenzake, Samson Mwigamba aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha na Profesa Kitila Mkumbo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TLIAKqIh76w/XoH-DNlg-JI/AAAAAAALlmI/N6wrPwBif1sb2XwzFMMELxsh9Q1sV7C8gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
JAJI KIONGOZI ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO
Na Magreth Kinabo- MahakamaJaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum. “Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CaSOybLRPdw/XnJKuo0BrvI/AAAAAAALkUc/OW43cid0J7kdyJiJD5_7NktsRzSziX9BACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200316-WA0070.jpg)
JAJI KIONGOZI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA JAJI MSTAAFU MUSHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-CaSOybLRPdw/XnJKuo0BrvI/AAAAAAALkUc/OW43cid0J7kdyJiJD5_7NktsRzSziX9BACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200316-WA0070.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xLiFUuXCFJ8/XnJKu7g_35I/AAAAAAALkUk/P8U595vEeloIgViJ9NWxVfNOlcSfw18dwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200316-WA0068.jpg)
11 years ago
Michuzi20 Jul
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Mbarawa aagiza wanaopata maji wafike milioni 1 mwakani
11 years ago
Habarileo21 Jul
Jaji Lila awa Jaji Kiongozi
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Jaji Shabani Lila (53) kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu kuanzia leo. Jaji Lila anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Fakih Jundu, ambaye anastaafu kwa mujibu wa sheria.
5 years ago
CCM BlogHOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,• Inspekta Jenerali wa Polisi,• Kamishna Mkuu wa Uhamiaji• Watendaji wa Tume,• Waandishi wa Habari,• Mabibi na Mabwana
Bwana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YSWxClSjAbA/VUI2xhGRjSI/AAAAAAAHUTY/AbftFuHcGxA/s72-c/6.jpg)
IFIKAPO MACHI MWAKANI TATIZO LA UMEME JIJINI DAR ES SALAAM LITAKUWA HISTORIA
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na Madini,George Simbachawene katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme ya Kurasini, Mbagala pamoja na Kinyerezi jijini Dar es Salaam leo.
Ziara hiyo iliyoanzia katika mitambo ya Umeme ya Wizarani hapo na kuelekea,Kurasini na Mbagala ikiwa na lengo la...