Mbarawa aagiza wanaopata maji wafike milioni 1 mwakani
Siku moja baada ya kuapishwa, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa ameliagiza Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) kuongeza idadi ya wateja kutoka 148,000 hadi milioni 1 ifikapo Juni 2016.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ojco1ZiXylg/Xl59k_V_mXI/AAAAAAALgxk/09FfZuIdqQgsW_os1LejKwFvS7I3WkkqgCLcBGAsYHQ/s72-c/3b94452f-d74b-491c-8352-87daeb1170f4.jpg)
WAZIRI MBARAWA AKAGUA TANKI LA MAJI LENYE KUBEBA LITA MILIONI 10 ARUMERU
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ojco1ZiXylg/Xl59k_V_mXI/AAAAAAALgxk/09FfZuIdqQgsW_os1LejKwFvS7I3WkkqgCLcBGAsYHQ/s640/3b94452f-d74b-491c-8352-87daeb1170f4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kEPGTa1XNAo/Xl59kjhpehI/AAAAAAALgxg/-KeDKXgWipQA8taho40lPmdmwwqg8bgkgCLcBGAsYHQ/s640/66c261af-68ce-4233-bbb9-d659e4e2b005.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-hxE43DLE_1U/Xl59lN72RrI/AAAAAAALgxo/YxYV3PN0OLomcaeLVVbhqrznYJ-4-qhvwCLcBGAsYHQ/s640/67458308-9a43-425f-9ffc-3e0a08a4c31d.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Jun
Wananchi wanaopata maji wafikia 55%
SERIKALI imesema kwamba sekta ya maji kwa kutumia mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) imeongeza wananchi wanaopata huduma ya maji kutoka milioni 15.2 Juni, 2013 hadi kufikia milioni 20.9 sawa na asilimia 55.
9 years ago
Habarileo31 Dec
Mbarawa aagiza TRL, RAHCO kushirikiana
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amewaagiza watendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO), kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Jaji Kiongozi aagiza kesi zote za uchaguzi ziishe Machi mwakani
9 years ago
MichuziONGEZENI IDADI YA WATUMIAJI MAJI DAR – PROF MBARAWA
5 years ago
MichuziPROF. MBARAWA AFANYA UTEUZI WA WAKURUGENZI MAMLAKA ZA MAJI
UTEUZI WA WAKURUGENZI WA MAMLAKA ZA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA – ARUSHA NA SUMBAWANGA
Waziri wa Maji Mhe. Prof. Makame Mbarawa (Mb) amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira za Arusha na Sumbawanga kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia leo tarehe 15 Mei, 2020.
Taarifa ya Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo imewataja walioteuliwa kuwa ni Mhandisi Justine Gordian Rujomba anayekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QBrE3PeUeyw/XkR0-7Dk74I/AAAAAAABKXg/XaIrOMJAFXM5gHHju-GTu0G9_yD_vRZ_QCNcBGAsYHQ/s72-c/wizarayamajitz-20200213-0001.jpg)
PROF MBARAWA AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA USAMBAZAJI MAJI IKWIRIRI
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema tatizo la upatikanaji wa maji katika halmashauri ya utete na tarafa ya Ikwiriri ni kutokana na kutokuwa na mtandao mpana wa mabomba ya usambazaji maji kwa wananchi.
Amesema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji katika tarafa ya Ikwiriri na kupata taarifa za mradi kutoka kwa wahandisi wanaoisimamia.
Mbarawa amesema, kuna changamoto ya upatikanaji wa maji halmashauri ya Utete na zaidi ni kutokana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HJBJ7Rw8zSw/XvXjoWwiQ0I/AAAAAAALvhY/VQ_ORKqSnKAwbMUdrwLqIwdWPaRJfOTSACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.56.18%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WAZIRI WA MAJI PROFESA MBARAWA AREJESHA FOMU YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ASHUKURU CHAMA CHAKE
Profesa Mbarawa alichukua fomu Juni 19, mwaka huu katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, akiwa mwanachama wa 10 kufanya hivyo.
Hivyi leo Juni 27,2020 amerejesha fomu hizo katika ofisi hiyo na kupokewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Zanzibar, Galous Nyimbo.
Wakati alipochukua fomu...
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Mradi wa maji wa sh Milioni 343 wazinduliwa kijiji cha Mabogini, RC Makalla ataka vyanzo vya maji vitunzwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-sq8hYuBdAsQ/VnqQ4oM226I/AAAAAAAAJWU/RsmzTklLDGg/s640/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla mwenye miwani akizindua huduma ya maji katika kijiji cha Mabogini, mkoani Kilimanjaro wenye thamani ya Sh Milioni 343.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
ZAIDI ya wananchi 3000 wa kijiji cha Mabogini, kitongoji cha Shabaha, mkoani Kilimanjaro, watanufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kupelekewa mradi wenye thamani ya Sh Milioni 343. Mradi huo uliozinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, umesimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi...