WAZIRI MBARAWA AKAGUA TANKI LA MAJI LENYE KUBEBA LITA MILIONI 10 ARUMERU
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ojco1ZiXylg/Xl59k_V_mXI/AAAAAAALgxk/09FfZuIdqQgsW_os1LejKwFvS7I3WkkqgCLcBGAsYHQ/s72-c/3b94452f-d74b-491c-8352-87daeb1170f4.jpg)
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mhandisi Christine Kessy kuhusu utekelezaji wa mradi wa maji wa vijiji vitano unaofadhiliwa na DFID katika Halmashauri ya Arumeru.
Waziri wa Maj Mhe Prof Makame Mbarawa kushoto kwake akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe Mrisho Gambo wakielekea kukagua tanki la maji lenye kuweza kubeba Lita Milioni 10.
Waziri wa Maji, Prof Makame Mbarawa akikagua tanki la mradi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5qfj_2x47qA/U_sZxBE2gbI/AAAAAAAGCOM/0mcgjVkfZ8c/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Waziri Maghembe akagua Maendeleo ya Ujenzi wa Tanki la Maji katika kijiji cha Itege mjini Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-5qfj_2x47qA/U_sZxBE2gbI/AAAAAAAGCOM/0mcgjVkfZ8c/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ecVuh0dCys/U_sZbwOwJcI/AAAAAAAGCN8/JF2NjEt2sms/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-dAJnCH7SeEY/VfsBGDy_lxI/AAAAAAAAZc0/CA9CwhMTHbU/s72-c/image%2B%25282%2529.jpg)
MKURANGA KUFAIDIKA NA MRADI WA MAJI YA KISIMA UTAKAOZALISHA LITA MILIONI 1.8 KWA SIKU
![](http://2.bp.blogspot.com/-dAJnCH7SeEY/VfsBGDy_lxI/AAAAAAAAZc0/CA9CwhMTHbU/s640/image%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ggd6H9aRbxw/VfsBHA-8WPI/AAAAAAAAZc8/cRQSiqCgrMg/s640/image%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Mbarawa aagiza wanaopata maji wafike milioni 1 mwakani
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YRUzuGeZk9g/VdTlI8djt9I/AAAAAAAHyVg/5DmJ5F1CP6o/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Naibu waziri wa maji akagua ujenzi wa mradi mkubwa wa maji Bunda
9 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI WA MAJI MH. AMOS MAKALLA AKAGUA MRADI WA MAJI KATIKA MJI WA GEITA
Naibu waziri wa maji Amos Makalla leo ametembelea mradi unaotekelezwa kwa ushirikiano wa serikali na mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) wa uboreshaji huduma ya maji kwa mji wa Geita
Mradi huu unagharimu fedha sh 10 bilioni ambao kukamilika kwake kutaongeza huduma ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HJBJ7Rw8zSw/XvXjoWwiQ0I/AAAAAAALvhY/VQ_ORKqSnKAwbMUdrwLqIwdWPaRJfOTSACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.56.18%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WAZIRI WA MAJI PROFESA MBARAWA AREJESHA FOMU YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ASHUKURU CHAMA CHAKE
Profesa Mbarawa alichukua fomu Juni 19, mwaka huu katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, akiwa mwanachama wa 10 kufanya hivyo.
Hivyi leo Juni 27,2020 amerejesha fomu hizo katika ofisi hiyo na kupokewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Zanzibar, Galous Nyimbo.
Wakati alipochukua fomu...
11 years ago
MichuziWAZIRI WA MAJI AZINDUA MRADI WA MAJI WA SHILINGI MILIONI 300 KIJIJI CHA MVUMI MAKULU MKOANI DODOMA.
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Naibu Waziri Makalla akagua Miradi ya Visima vya Maji Mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-LYrhx1PyvJ0/U9pucLRjeXI/AAAAAAAArYU/RkEVQ9jnpBY/s1600/Picture+001.jpg)
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kulia), akipata maelezo kutoka kwa kiongozi wa Mafundi wa Kampuni ya CDM Smith, John Donoherth, kuhusu ujenzi wa kisima kilichopo Mkwalia Mkuranga ambacho ni moja kati ya visima 8 vinavyofanyiwa utafiti maji wilayani humo. Makalla alifanya ziara ya kukagua miradi ya maji wilayani Mkuranga mkoani Pwani leo. Pia alikagua mradi wa kisima cha maji cha Nyamato chenye uwezo wa kutoa maji lita 26,000 kwa saa kitakachohudumia wakazi wa vijiji vya Mvuleni,...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10