Naibu Waziri Makalla akagua Miradi ya Visima vya Maji Mkuranga
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kulia), akipata maelezo kutoka kwa kiongozi wa Mafundi wa Kampuni ya CDM Smith, John Donoherth, kuhusu ujenzi wa kisima kilichopo Mkwalia Mkuranga ambacho ni moja kati ya visima 8 vinavyofanyiwa utafiti maji wilayani humo. Makalla alifanya ziara ya kukagua miradi ya maji wilayani Mkuranga mkoani Pwani leo. Pia alikagua mradi wa kisima cha maji cha Nyamato chenye uwezo wa kutoa maji lita 26,000 kwa saa kitakachohudumia wakazi wa vijiji vya Mvuleni,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi31 Jul
MH. MAKALLA AKAGUA MIRADI YA VISIMA VYA MAJI MKURANGA
![](https://4.bp.blogspot.com/-LYrhx1PyvJ0/U9pucLRjeXI/AAAAAAAArYU/RkEVQ9jnpBY/s1600/Picture+001.jpg)
9 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI WA MAJI MH. AMOS MAKALLA AKAGUA MRADI WA MAJI KATIKA MJI WA GEITA
Naibu waziri wa maji Amos Makalla leo ametembelea mradi unaotekelezwa kwa ushirikiano wa serikali na mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) wa uboreshaji huduma ya maji kwa mji wa Geita
Mradi huu unagharimu fedha sh 10 bilioni ambao kukamilika kwake kutaongeza huduma ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-d_a_RvwjQUM/VTnGqWHvdKI/AAAAAAAA7Zc/Et5gxmgSE9E/s72-c/AM%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE. AMOS MAKALLA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAJI MUFINDI NA SONGEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-d_a_RvwjQUM/VTnGqWHvdKI/AAAAAAAA7Zc/Et5gxmgSE9E/s1600/AM%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Mufindi na Songea. Akiwa wilayani Mufindi, Mh Makalla amekagua mradi mkubwa wa Maji wa ikilimanzoo na kuelekeza mkandarasi aukamilishe haraka. Aidha Naibu Waziri huyo wa Maji amekagua na kutoa cheti kwa jumuiya ya watumia maji Mkongotema na Magingo (MAMKO). Leo Ijumaa ataendelea na ziara yake...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4-tAyRwvGw/U8RzjsWDicI/AAAAAAAF2OI/GIMF-wuxVuQ/s72-c/unnamed+(73).jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE AMOS MAKALLA ATEMBELEA MIRADI YA MAJI MIKOA YA PWANI NA DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi26 Aug
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA KATIKA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI MKOA WA DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/546-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/639-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/280.jpg)
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI, MAKALLA AWANASA WEZI WA MAJI DAR NA KUTANGAZA KUFILISI MALI ZAO.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya ufyatuaji matofali ya Ujenzi Solutions, ya Kimara kwa Msuguri, Dar es Salaam, Rahim Hamis na mfanyabiashara wa kampuni isiyo na jina, Credo Rajab (kulia) wakiwa chini ya uliznzi wa Polisi huku wakiwa wamevishwa pingu baada Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla kuamuru kuwakamata alipokagua viwanda vyao vya ufyatuaji na kugundulika kuwa wanatumia maji isivyo halali kwa kujiunganishia kwenye bomba kuu la Mamlaka ya Maji Safi na Taka Dar ws Salaam (DAWASA). ...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s72-c/AMI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MH AMOS MAKALLA AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI KIJIJI CHA MKONGO NAKAWALE
![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s1600/AMI%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Namtumbo pamoja na mambo mengine amezindua mradi mkubwa Maji kijiji cha Mkongo Nakawale ambao watu zaidi ya 4000 wanapata Maji safi.
Aidha amekagua mradi wa Maji Milonji na ametoa agizo hadi kufikia tarehe 12 mei mwaka huu mkandarasi awe amekamilisha kuchimba...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dTsC9iXnVmE/VKmFhYvYIXI/AAAAAAAG7RQ/D82R5wk9xXg/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Naibu waziri wa maji Mhe Amos Makalla avamia mkoa wa Dar es salaam, abaini wizi mkubwa wa maji
![](http://4.bp.blogspot.com/-dTsC9iXnVmE/VKmFhYvYIXI/AAAAAAAG7RQ/D82R5wk9xXg/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-10wzkPu0vP4/VKmFheFuf2I/AAAAAAAG7RI/RevQbXo0TxY/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mdFD7lU0K2Q/VKmFhk1UjaI/AAAAAAAG7RM/1mXN_12sIfQ/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YRUzuGeZk9g/VdTlI8djt9I/AAAAAAAHyVg/5DmJ5F1CP6o/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Naibu waziri wa maji akagua ujenzi wa mradi mkubwa wa maji Bunda