Naibu waziri wa maji Mhe Amos Makalla avamia mkoa wa Dar es salaam, abaini wizi mkubwa wa maji
![](http://4.bp.blogspot.com/-dTsC9iXnVmE/VKmFhYvYIXI/AAAAAAAG7RQ/D82R5wk9xXg/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Naibu waziri Maji Mhe Amos Makalla leo amefanya ziara ya kustukiza mkoa Dar es salaam, ambapo amekamata wezi wa maji 12, amewatimua kazi mameneja wa maji Boko na Kimara na pia ametangaza operasheni kubwa zaidi ya kusaka wezi wa maji jijini Dar es salaam Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akiangalia miundombinu ya wizi wa maji Magomeni
Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akitembelea kitongoji cha Manzese kusaka wezi wa maji
Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akiangalia matenki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4-tAyRwvGw/U8RzjsWDicI/AAAAAAAF2OI/GIMF-wuxVuQ/s72-c/unnamed+(73).jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE AMOS MAKALLA ATEMBELEA MIRADI YA MAJI MIKOA YA PWANI NA DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi26 Aug
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA KATIKA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI MKOA WA DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/546-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/639-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/280.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s72-c/AMI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MH AMOS MAKALLA AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI KIJIJI CHA MKONGO NAKAWALE
![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s1600/AMI%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Namtumbo pamoja na mambo mengine amezindua mradi mkubwa Maji kijiji cha Mkongo Nakawale ambao watu zaidi ya 4000 wanapata Maji safi.
Aidha amekagua mradi wa Maji Milonji na ametoa agizo hadi kufikia tarehe 12 mei mwaka huu mkandarasi awe amekamilisha kuchimba...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-d_a_RvwjQUM/VTnGqWHvdKI/AAAAAAAA7Zc/Et5gxmgSE9E/s72-c/AM%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE. AMOS MAKALLA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAJI MUFINDI NA SONGEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-d_a_RvwjQUM/VTnGqWHvdKI/AAAAAAAA7Zc/Et5gxmgSE9E/s1600/AM%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Mufindi na Songea. Akiwa wilayani Mufindi, Mh Makalla amekagua mradi mkubwa wa Maji wa ikilimanzoo na kuelekeza mkandarasi aukamilishe haraka. Aidha Naibu Waziri huyo wa Maji amekagua na kutoa cheti kwa jumuiya ya watumia maji Mkongotema na Magingo (MAMKO). Leo Ijumaa ataendelea na ziara yake...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FiBR9DcjfH4/U7JnIMT8hmI/AAAAAAAFt48/RNNjV52OSQs/s72-c/20140630_111320.jpg)
Ziara ya naibu waziri maji Mhe Amos Makalla wilaya ya manyoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FiBR9DcjfH4/U7JnIMT8hmI/AAAAAAAFt48/RNNjV52OSQs/s1600/20140630_111320.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9zoLqFo2brM/U7JnKAn74UI/AAAAAAAFt5I/NgkYqVholIQ/s1600/20140630_120613.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vc7K4ehE6sE/U7JnJmVDQKI/AAAAAAAFt5E/55tJ_W_LWII/s1600/20140630_160656.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9ZhFdaDOoxM/VNwghcixiPI/AAAAAAAHDMo/YJp4KyNrU1A/s72-c/unnamed%2B(71).jpg)
Ziara ya naibu waziri wa maji Mhe Amos Makalla mjini Babati
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxyGTZ*9cfknS7YDBWjPYlPD8HIWK0URq5R1QpM7Bf0hn6NGFlfmkHy9qg74sId9wOd4Zq8bB1bDqgW9tRR3dT-Y/makalla.jpg?width=650)
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE. AMOS MAKALLA WILAYANI MANYONI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L1m1RJQX8dU/VNo-G-CF7II/AAAAAAAHC5o/4f1OcbqiAxQ/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Ziara ya naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla wilayani Hanang leo
9 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI WA MAJI MH. AMOS MAKALLA AKAGUA MRADI WA MAJI KATIKA MJI WA GEITA
Naibu waziri wa maji Amos Makalla leo ametembelea mradi unaotekelezwa kwa ushirikiano wa serikali na mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) wa uboreshaji huduma ya maji kwa mji wa Geita
Mradi huu unagharimu fedha sh 10 bilioni ambao kukamilika kwake kutaongeza huduma ya...