Mbarawa aagiza TRL, RAHCO kushirikiana
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amewaagiza watendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO), kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1QxZNC-Iy5I/VoOjXrer17I/AAAAAAAIPTc/TFYk1PUQvuk/s72-c/makame.jpg)
Profesa Mbarawa azitaka TRL na RAHCO kujiimarisha
![](http://3.bp.blogspot.com/-1QxZNC-Iy5I/VoOjXrer17I/AAAAAAAIPTc/TFYk1PUQvuk/s400/makame.jpg)
Akizungumza na watendaji wa TRL na RAHCO Prof. Mbarawa amewataka watendaji hao kutengeneza mkakati utakaowezesha usafiri wa reli nchini kuwa wa uhakika kwa abiria na mizigo ili kupunguza msongamano kwenye barabara na kuwezesha shehena kubwa ya mizigo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6REXeTzXKVI/VoqKmpFC1JI/AAAAAAAIQRI/1r6WBZGzkGE/s72-c/mbarawa.jpg)
TRL NA RAHCO WAAGIZWA KUKARABATI RELI NDANI YA SIKU 3!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6REXeTzXKVI/VoqKmpFC1JI/AAAAAAAIQRI/1r6WBZGzkGE/s400/mbarawa.jpg)
Mhe Waziri ameutaka uongozi huo kutumia ujuzi wao wote na wahandisi na mafundi wake kurejesha tuta la reli katika hali ya kawaida ili huduma ziweze kuanza ndani ya siku 3 zijazo.
Aidha aliwataka...
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Mbarawa aagiza wanaopata maji wafike milioni 1 mwakani
Siku moja baada ya kuapishwa, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa ameliagiza Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) kuongeza idadi ya wateja kutoka 148,000 hadi milioni 1 ifikapo Juni 2016.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dc4Mwrw6QT4/VBgiuf69GBI/AAAAAAAGj8M/-FVeHCAjxng/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA AAGIZA MAMLAKA ZA HALI YA HEWA KUSINI MWA AFRIKA KUSHIRIKIANA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA KANDA YA SADC
Mamlaka ya Hali ya Hewa kwa niaba ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa mwenyeji wa mkutano wa kila mwaka wa umoja wa taasis za hali ya hewa katika nchi za Kusini mwa Afrika (MASA).
Mkutano huo unafanyika mkoani Arusha. Akifungua mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Jowika W. Kasunga alizitaka taasis za hali ya hewa kusini mwa Afrika ikiwemo TMA kushirikiana katika kutatua changamoto zinazoikabili...
Mkutano huo unafanyika mkoani Arusha. Akifungua mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Jowika W. Kasunga alizitaka taasis za hali ya hewa kusini mwa Afrika ikiwemo TMA kushirikiana katika kutatua changamoto zinazoikabili...
11 years ago
TheCitizen01 May
Rahco cries for funds
Reli Assets Holding Company, the state-owned firm responsible for railway infrastructure, doubts whether it will achieve its Big Results Now (BRN) targets if the trend of disbursing fund will continue as it is today.
9 years ago
TheCitizen30 Oct
TPA, Rahco boards inaugurated
The government yesterday inaugurated boards of directors of its two transport-related infrastructure authorities and urged them to hasten the pace of implementation of the country’s infrastructure projects.
10 years ago
TheCitizen08 Jan
Railways fit for deluxe train: Rahco
The existing railway infrastructure is in good condition and fit to accommodate the much-anticipated deluxe train, Reli Assets Holding Company (Rahco) – the state owned firm responsible for railway infrastructure - said yesterday.
9 years ago
TheCitizen23 Dec
Fired Rahco boss in Sh15tr scam
President John Magufuli yesterday suspended the managing director of Reli Assets Holding Company (Rahco), Mr Benhadard Tito (pictured), to pave the way for investigations into gross procurement flaws in awarding a tender for building the $7.6 billion (Sh15 trillion) standard gauge railway line.
10 years ago
TheCitizen23 Apr
Rehabilitation of our quarry plant is crucial: Rahco
Reli Assets Holding Company (Rahco) has embarked on a project to rehabilitate its quarry plant.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania