Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbarawa aagiza TRL, RAHCO kushirikiana

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amewaagiza watendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO), kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Profesa Mbarawa azitaka TRL na RAHCO kujiimarisha

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Prof. Makame Mbarawa amezungumzia umuhimu wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.
Akizungumza na watendaji wa TRL na RAHCO Prof. Mbarawa amewataka watendaji hao kutengeneza mkakati utakaowezesha usafiri wa reli nchini kuwa wa uhakika kwa abiria na mizigo ili kupunguza msongamano kwenye barabara na kuwezesha shehena kubwa ya mizigo...

 

9 years ago

Michuzi

TRL NA RAHCO WAAGIZWA KUKARABATI RELI NDANI YA SIKU 3!

Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhe Profesa Makame Mbarawa  amezitaka Menejimenti za  Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Reli Rahco kufanya kila linalowezekana kuondoa athari za mafuriko ya mvua zilizoikumba eneo la stesheni za  Kilosa na Mzaganza ambako reli imekatika.

Mhe Waziri ameutaka uongozi huo kutumia ujuzi wao wote na wahandisi na mafundi wake  kurejesha tuta la reli katika hali ya kawaida ili huduma ziweze kuanza ndani ya siku 3 zijazo.
Aidha aliwataka...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbarawa aagiza wanaopata maji wafike milioni 1 mwakani

Siku moja baada ya kuapishwa, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa ameliagiza Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) kuongeza idadi ya wateja kutoka 148,000 hadi milioni 1 ifikapo Juni 2016.

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA ARUSHA AAGIZA MAMLAKA ZA HALI YA HEWA KUSINI MWA AFRIKA KUSHIRIKIANA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA KANDA YA SADC

Mamlaka ya Hali ya Hewa kwa niaba ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa mwenyeji wa mkutano wa kila mwaka wa umoja wa taasis za hali ya hewa katika nchi za Kusini mwa Afrika (MASA).
Mkutano huo unafanyika mkoani Arusha. Akifungua mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Jowika W. Kasunga alizitaka taasis za hali ya hewa kusini mwa Afrika ikiwemo TMA kushirikiana katika kutatua changamoto zinazoikabili...

 

11 years ago

TheCitizen

Rahco cries for funds

Reli Assets Holding Company, the state-owned firm responsible for railway infrastructure, doubts whether it will achieve its Big Results Now (BRN) targets if the trend of disbursing fund will continue as it is today.

 

9 years ago

TheCitizen

TPA, Rahco boards inaugurated

The government yesterday inaugurated boards of directors of its two transport-related infrastructure authorities and urged them to hasten the pace of implementation of the country’s infrastructure projects.

 

10 years ago

TheCitizen

Railways fit for deluxe train: Rahco

The existing railway infrastructure is in good condition and fit to accommodate the much-anticipated deluxe train, Reli Assets Holding Company (Rahco) – the state owned firm responsible for railway infrastructure - said yesterday.

 

9 years ago

TheCitizen

Fired Rahco boss in Sh15tr scam

President John Magufuli yesterday suspended the managing director of Reli Assets Holding Company (Rahco), Mr Benhadard Tito (pictured), to pave the way for investigations into gross procurement flaws in awarding a tender for building the $7.6 billion (Sh15 trillion) standard gauge railway line.

 

10 years ago

TheCitizen

Rehabilitation of our quarry plant is crucial: Rahco

Reli Assets Holding Company (Rahco) has embarked on a project to rehabilitate its quarry plant.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani