TRL NA RAHCO WAAGIZWA KUKARABATI RELI NDANI YA SIKU 3!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6REXeTzXKVI/VoqKmpFC1JI/AAAAAAAIQRI/1r6WBZGzkGE/s72-c/mbarawa.jpg)
Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhe Profesa Makame Mbarawa amezitaka Menejimenti za Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Reli Rahco kufanya kila linalowezekana kuondoa athari za mafuriko ya mvua zilizoikumba eneo la stesheni za Kilosa na Mzaganza ambako reli imekatika.
Mhe Waziri ameutaka uongozi huo kutumia ujuzi wao wote na wahandisi na mafundi wake kurejesha tuta la reli katika hali ya kawaida ili huduma ziweze kuanza ndani ya siku 3 zijazo.
Aidha aliwataka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Jan
Tanesco waagizwa kuunganisha umeme ndani ya siku 7
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameitaka Bodi mpya ya Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kuliongoza shirika hilo kwa ufanisi na kuhakikisha kuwa mteja mpya anapoomba umeme anafungiwa ndani ya wiki moja.
9 years ago
Habarileo31 Dec
Mbarawa aagiza TRL, RAHCO kushirikiana
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amewaagiza watendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO), kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1QxZNC-Iy5I/VoOjXrer17I/AAAAAAAIPTc/TFYk1PUQvuk/s72-c/makame.jpg)
Profesa Mbarawa azitaka TRL na RAHCO kujiimarisha
![](http://3.bp.blogspot.com/-1QxZNC-Iy5I/VoOjXrer17I/AAAAAAAIPTc/TFYk1PUQvuk/s400/makame.jpg)
Akizungumza na watendaji wa TRL na RAHCO Prof. Mbarawa amewataka watendaji hao kutengeneza mkakati utakaowezesha usafiri wa reli nchini kuwa wa uhakika kwa abiria na mizigo ili kupunguza msongamano kwenye barabara na kuwezesha shehena kubwa ya mizigo...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Wajapani kukarabati Reli ya Kati
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0001.jpg)
SERIKALI YA UJERUMANI KUTUMIA EURO MILIONI 10 KUKARABATI RELI YA KATI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wo2b1qYU67I/Xo8AYnXi1wI/AAAAAAALmno/wKAEsKLbagoBpBwXu_E4lNbqRt4YQZbpACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-09%2Bat%2B12.53.07%2BPM.jpeg)
SIKU ZA WEZI WA MAGARI ZAHESABIKA, WAAGIZWA KUJISALIMISHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wo2b1qYU67I/Xo8AYnXi1wI/AAAAAAALmno/wKAEsKLbagoBpBwXu_E4lNbqRt4YQZbpACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-09%2Bat%2B12.53.07%2BPM.jpeg)
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Kamanda...
10 years ago
Habarileo06 Oct
Tanesco waagizwa kuunganisha umeme siku moja
SERIKALI imelitaka Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuunganishia wateja umeme ndani ya siku kama watalipa kabla ya saa nne asubuhi. Agizo hilo lilitolewa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga wakati akizungumza na menejimenti ya Tanesco mkoa wa Mwanza katika ziara yake ya kukagua miradi ya umeme.
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Jinsi uyoga unavyolimwa ndani ya reli