Jinsi uyoga unavyolimwa ndani ya reli
Si kawaida kuona shamba la uyoga ni reli iliyokuwa inatumika karne ya 19th, Mmiliki wa reli hiyo bwana Dean Smith anasema ana matumani kuwa mtu anaweza kutafuta namna ya kipekee.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6REXeTzXKVI/VoqKmpFC1JI/AAAAAAAIQRI/1r6WBZGzkGE/s72-c/mbarawa.jpg)
TRL NA RAHCO WAAGIZWA KUKARABATI RELI NDANI YA SIKU 3!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6REXeTzXKVI/VoqKmpFC1JI/AAAAAAAIQRI/1r6WBZGzkGE/s400/mbarawa.jpg)
Mhe Waziri ameutaka uongozi huo kutumia ujuzi wao wote na wahandisi na mafundi wake kurejesha tuta la reli katika hali ya kawaida ili huduma ziweze kuanza ndani ya siku 3 zijazo.
Aidha aliwataka...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Reli yawatunuku askari reli watunukiwa
Polisi wa Kikosi cha Reli wametunukiwa zawadi mbalimbali askari ikiwamo vyeti baada ya kukamata shehena ya mataruma na reli vyenye thamani ya zaidi ya Sh285 milioni.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Jinsi amri ya kukaa nyumbani ilivyoibua mjadala kwa wafanyakazi wa ndani India
Mwishoni mwa wiki, India iliongeza muda wa marufuku ya kutoka nje katika taifa zima kwa muda wa usiku kwa siku 40 nyingine lakini wafanyakazi wa ndani wanaweza kuwa wanarundi nyumbani kwao.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Tazama jinsi hospitali hii ilivyojengwa ndani ya siku 10 ili kuwashughulikia waathiriwa wa virusi vya Corona China
Hospitali yenye uwezo wa kupokea wagonjwa 1,000 imejengwa mjini Wuhan ili kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona.
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Faida nyingi za uyoga kiafya
Uyoga ni miongoni mwa vyakula adimu sana duniani. Lakini ni miongoni mwa vyakula vyanye virutubisho muhimu sana kiafya tofauti na watu wengi wanavyodani.
11 years ago
Mwananchi29 May
Watafutieni wananchi soko la uyoga
Shirika lisilo la Kiserikali la Farm Africa limeombwa kuwahakikishia soko la uyoga wananchi wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, kutokana na mafunzo ya ujasiriamali waliyopatiwa kuhusu namna ya kuzalisha zao hilo.
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Uyoga unazuia mtu kunenepa :Utafiti
Utafiti nchini Taiwan na Uchina umebaini kuwa uyoga unaweza kutumika kuwasaidia watu kupunguza unene.
10 years ago
Habarileo27 Jan
Wawili wafa kwa kula uyoga
WATU wawili wa familia moja wamefariki dunia katika Kijiji cha Masyalele, Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara baada ya kula uyoga unaosadikiwa kuwa sumu. Pia wengine wanne walazwa akiwamo mtoto wa miaka mitatu katika kituo cha afya cha Mangaka.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nJhb2izRqBY/VAhq97ehDTI/AAAAAAAGd7g/j2HX_FfsYZw/s72-c/Ni%2Bwakati%2Bwa%2Bkula%2Buyoga!.jpg)
SIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI
Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania