Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uyoga unazuia mtu kunenepa :Utafiti

Utafiti nchini Taiwan na Uchina umebaini kuwa uyoga unaweza kutumika kuwasaidia watu kupunguza unene.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti kuchunguza jinsi mtu anavyozeeka

Wanasayansi mjini London wamegundua utafiti mpya wa kuchunguza utaratibu wa jinsi mtu anavyo zeeka.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Hali ya uchumi ya mtu mmojammoja nchini ni mbaya kuliko ilivyokuwa miaka 10 iliyopita

Hivi karibuni, Taasisi ya Repoa ilitoa utafiti wake unaoonyesha kuwa hali ya kiuchumi ya wananchi inazidi kuwa mbaya ikilinganishwa na ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kunenepa ni tishio la kiafya kwa wanawake UK

Kunenepa ni tishio kubwa kwa afya ya wanawake pamoja na ile ya vizazi vijavyo, ameonya Afisa mkuu wa matibabu nchini Uingereza Dame Sally Davies.

 

5 years ago

Michuzi

Kukonda, Kunenepa, Furaha na Hasira zisizokwisha sasa zinarejea tena, tuanze kujiandaa


Charles James, Michuzi TV

NGOMA inarudi! Kipute kinalia, mbugi linarudi mwanangu, vita vinarejea, mtanange unaputwa ili uanze kupigwa. Furaha yenye mateso tuliyokua tumeimiss kitambo sasa inakuja kwenye macho yetu.

Ipo hivi; Baada ya miezi miwili ya Ligi mbalimbali za Soka duniani kusimamishwa kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid19 'Corona' sasa filimbi zinapulizwa kuashiria ligi zinarejea.

Ligi zinarudi baada ya Serikali za Nchi mbalimbali kuruhusu michezo kuanza kutokana na kuridhishwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Watafutieni wananchi soko la uyoga

Shirika lisilo la Kiserikali la Farm Africa limeombwa kuwahakikishia soko la uyoga wananchi wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, kutokana na mafunzo ya ujasiriamali waliyopatiwa kuhusu namna ya kuzalisha zao hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Faida nyingi za uyoga kiafya

Uyoga ni miongoni mwa vyakula adimu sana duniani. Lakini ni miongoni mwa vyakula vyanye virutubisho muhimu sana kiafya tofauti na watu wengi wanavyodani.

 

10 years ago

Habarileo

Wawili wafa kwa kula uyoga

WATU wawili wa familia moja wamefariki dunia katika Kijiji cha Masyalele, Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara baada ya kula uyoga unaosadikiwa kuwa sumu. Pia wengine wanne walazwa akiwamo mtoto wa miaka mitatu katika kituo cha afya cha Mangaka.

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI



Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa  bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi uyoga unavyolimwa ndani ya reli

Si kawaida kuona shamba la uyoga ni reli iliyokuwa inatumika karne ya 19th, Mmiliki wa reli hiyo bwana Dean Smith anasema ana matumani kuwa mtu anaweza kutafuta namna ya kipekee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani