Uyoga unazuia mtu kunenepa :Utafiti
Utafiti nchini Taiwan na Uchina umebaini kuwa uyoga unaweza kutumika kuwasaidia watu kupunguza unene.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
Utafiti kuchunguza jinsi mtu anavyozeeka
Wanasayansi mjini London wamegundua utafiti mpya wa kuchunguza utaratibu wa jinsi mtu anavyo zeeka.
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Utafiti: Hali ya uchumi ya mtu mmojammoja nchini ni mbaya kuliko ilivyokuwa miaka 10 iliyopita
Hivi karibuni, Taasisi ya Repoa ilitoa utafiti wake unaoonyesha kuwa hali ya kiuchumi ya wananchi inazidi kuwa mbaya ikilinganishwa na ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Kunenepa ni tishio la kiafya kwa wanawake UK
Kunenepa ni tishio kubwa kwa afya ya wanawake pamoja na ile ya vizazi vijavyo, ameonya Afisa mkuu wa matibabu nchini Uingereza Dame Sally Davies.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KbWIw5ZILo0/Xt0IOauqERI/AAAAAAALs6o/Jzk71kb03nUQ8ZiK0giWzSWTqyBSE1JjQCLcBGAsYHQ/s72-c/a588fb62-8cdb-476a-acc2-fdae9008b3d8.jpg)
Kukonda, Kunenepa, Furaha na Hasira zisizokwisha sasa zinarejea tena, tuanze kujiandaa
![](https://1.bp.blogspot.com/-KbWIw5ZILo0/Xt0IOauqERI/AAAAAAALs6o/Jzk71kb03nUQ8ZiK0giWzSWTqyBSE1JjQCLcBGAsYHQ/s640/a588fb62-8cdb-476a-acc2-fdae9008b3d8.jpg)
Charles James, Michuzi TV
NGOMA inarudi! Kipute kinalia, mbugi linarudi mwanangu, vita vinarejea, mtanange unaputwa ili uanze kupigwa. Furaha yenye mateso tuliyokua tumeimiss kitambo sasa inakuja kwenye macho yetu.
Ipo hivi; Baada ya miezi miwili ya Ligi mbalimbali za Soka duniani kusimamishwa kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid19 'Corona' sasa filimbi zinapulizwa kuashiria ligi zinarejea.
Ligi zinarudi baada ya Serikali za Nchi mbalimbali kuruhusu michezo kuanza kutokana na kuridhishwa...
11 years ago
Mwananchi29 May
Watafutieni wananchi soko la uyoga
Shirika lisilo la Kiserikali la Farm Africa limeombwa kuwahakikishia soko la uyoga wananchi wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, kutokana na mafunzo ya ujasiriamali waliyopatiwa kuhusu namna ya kuzalisha zao hilo.
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Faida nyingi za uyoga kiafya
Uyoga ni miongoni mwa vyakula adimu sana duniani. Lakini ni miongoni mwa vyakula vyanye virutubisho muhimu sana kiafya tofauti na watu wengi wanavyodani.
10 years ago
Habarileo27 Jan
Wawili wafa kwa kula uyoga
WATU wawili wa familia moja wamefariki dunia katika Kijiji cha Masyalele, Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara baada ya kula uyoga unaosadikiwa kuwa sumu. Pia wengine wanne walazwa akiwamo mtoto wa miaka mitatu katika kituo cha afya cha Mangaka.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nJhb2izRqBY/VAhq97ehDTI/AAAAAAAGd7g/j2HX_FfsYZw/s72-c/Ni%2Bwakati%2Bwa%2Bkula%2Buyoga!.jpg)
SIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI
Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Jinsi uyoga unavyolimwa ndani ya reli
Si kawaida kuona shamba la uyoga ni reli iliyokuwa inatumika karne ya 19th, Mmiliki wa reli hiyo bwana Dean Smith anasema ana matumani kuwa mtu anaweza kutafuta namna ya kipekee.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania