Kukonda, Kunenepa, Furaha na Hasira zisizokwisha sasa zinarejea tena, tuanze kujiandaa

Charles James, Michuzi TV
NGOMA inarudi! Kipute kinalia, mbugi linarudi mwanangu, vita vinarejea, mtanange unaputwa ili uanze kupigwa. Furaha yenye mateso tuliyokua tumeimiss kitambo sasa inakuja kwenye macho yetu.
Ipo hivi; Baada ya miezi miwili ya Ligi mbalimbali za Soka duniani kusimamishwa kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid19 'Corona' sasa filimbi zinapulizwa kuashiria ligi zinarejea.
Ligi zinarudi baada ya Serikali za Nchi mbalimbali kuruhusu michezo kuanza kutokana na kuridhishwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Oct
Tuanze sasa maandalizi ya Olimpiki 2016
10 years ago
Mwananchi13 Sep
MATUKIO CHUMA : ‘Nilimwezesha Sitti awe na furaha tena’
10 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
5 years ago
Michuzi
WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Uyoga unazuia mtu kunenepa :Utafiti
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Kunenepa ni tishio la kiafya kwa wanawake UK
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Tukishindwa sasa basi tena- Lowassa
11 years ago
Habarileo02 May
Darasa la 7 kufanya tena Matokeo Makubwa Sasa
WANAFUNZI wa Darasa la Saba waliofanya mtihani wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) wakiwa darasa la sita, watafanya mtihani mwingine wa aina hiyo kabla ya kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu kwa lengo la kuongeza ufaulu.
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Ni Okwi tena.... aah! Hii sasa sifa