Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuanze sasa maandalizi ya Olimpiki 2016

Michezo ya Olimpiki 2016 itafanyika Rio de Janeiro, Brazil kuanzia Agosti 5 mpaka 21.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Angel Eaton yu tayari kwa Olimpiki 2016

Bingwa wa michuano ya gofu ya wazi ya Uganda, Mtanzania Angel Eaton amesema yuko tayari kwa ajili ya Olimpiki ya mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016

>Tanzania haitashiriki michezo ya soka  kimataifa hadi mwaka 2016 kutokana na timu yake ya  vijana  wa umri chini ya miaka 23  kutoshiriki michuano ya kusaka  tiketi ya kushiriki Olimpiki  msimu wa 2015/2016.

 

5 years ago

Michuzi

Kukonda, Kunenepa, Furaha na Hasira zisizokwisha sasa zinarejea tena, tuanze kujiandaa


Charles James, Michuzi TV

NGOMA inarudi! Kipute kinalia, mbugi linarudi mwanangu, vita vinarejea, mtanange unaputwa ili uanze kupigwa. Furaha yenye mateso tuliyokua tumeimiss kitambo sasa inakuja kwenye macho yetu.

Ipo hivi; Baada ya miezi miwili ya Ligi mbalimbali za Soka duniani kusimamishwa kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid19 'Corona' sasa filimbi zinapulizwa kuashiria ligi zinarejea.

Ligi zinarudi baada ya Serikali za Nchi mbalimbali kuruhusu michezo kuanza kutokana na kuridhishwa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Matokeo ya maisha yako ya sasa ni msingi wa maandalizi ya jana’

Miaka mitano iliyopita, kundi la Watanzania wasiokuwa na ajira limezidi kuongezeka, huku sekta ya umma na binafsi zikishindwa kuhimili wingi wa watu hao, hivyo kuwachukua wachache.

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA MAANDALIZI YA KUINGIZA SEKTA YA AFYA KATIKA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA

 Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Bw. Omari Issa akifafanua jambo wakati wa mkutano wa awali wa maandalizi ya kujadili vipaumbele vya sekta ya afya vitakavyoingizwa katika BRN. Mkutano huo wa siku nne umeanza jijini Dar es Salaam leo Jumanne. Kushoto ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid.

 Mkurugenzi wa SIKIKA, Bw. Irinei Kiria akiwasilisha mada kuhusu sekta ya afya wakati wa mkutano wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI MBIO ZA MAGARI YAKAMILIKA,SASA KUFANYIKA JUMAPILI HII MAENEO YA KIA

Baadhi ya magari yakiingia uwanjani kwa ajili ya ukaguzi wa mwisho kabla ya mashindano.

Mafundi wakiweka mafuta ya ndege katika moja ya magari yanayoshiriki mbio hizo.
Magari yanaotajwa kutoa ushindani mkali katika mbio hizo.Mamboz na Madebe linalotajwa kufungwa injini mpya ambayo bado kilometa zake zinasoma 0.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa

ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kabla ya ‘Mbweha wa Jangwani’, tuanze na haya

MWISHONI mwa wiki iliyopita timu ya Taifa (Taifa Stars) ilikuwa na mchezo wa kufuzu fainali za Ko

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuanze kujadili sifa za kweli za kiongozi ajaye

WACHA Kionambali naye aanze kuchungulia 2015.  Kuna ubaya gani? Wengine walianza kuitazama 2015 tangu miaka kumi iliyopita. Kila mmoja akitunga ngonjera atakazokuja nazo kutuimbia Watanzania, na kwa vile tumezoea kudanganyika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani