MKUTANO WA MAANDALIZI YA KUINGIZA SEKTA YA AFYA KATIKA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA
![](http://4.bp.blogspot.com/-egPkKGuoVGs/U-nOiXbYopI/AAAAAAAF-2I/8B3M9DbGLKE/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Bw. Omari Issa akifafanua jambo wakati wa mkutano wa awali wa maandalizi ya kujadili vipaumbele vya sekta ya afya vitakavyoingizwa katika BRN. Mkutano huo wa siku nne umeanza jijini Dar es Salaam leo Jumanne. Kushoto ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_akAyTMuY-Q/U-nOiSnWjmI/AAAAAAAF-2U/5voopHOdcXs/s1600/unnamed+(14).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LM7vnt4_Hl4/U8VNLTyXoPI/AAAAAAAAFrk/eVh2G4-aB0Y/s72-c/IMG_2466.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AFANYA ZIARA YA KUHAMASISHA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN) KATIKA SEKTA YA ELIMU MKOANI HUMO
![](http://1.bp.blogspot.com/-LM7vnt4_Hl4/U8VNLTyXoPI/AAAAAAAAFrk/eVh2G4-aB0Y/s1600/IMG_2466.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa
ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...
11 years ago
Habarileo13 Jan
Diwani: Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho
DIWANI wa Kata ya Kaengesa, Ameir Nkurlu amedai mpango wa Serikali wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho, hauwezekani kutekelezwa.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MABEHEWA 50 YA KUBEBEA MAKASHA CHINI YA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN)
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ katika elimu
10 years ago
Bongo506 Oct
Audio: Kipindi cha Haba na Haba chajadili mpango wa matokeo makubwa sasa
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ Madola
11 years ago
Habarileo01 Apr
Matokeo makubwa sasa yaneemesha elimu
KUONGEZEKA kwa viwango vya ufaulu kwa shule za Msingi na Sekondari kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana kumeelezwa kutokana na kutekelezwa kwa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa wakati wa kuzindua vitabu vya Uchambuzi wa Matokeo ya Shule za Msingi kwa mwaka 2013 katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa.