Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matokeo makubwa sasa yaneemesha elimu

KUONGEZEKA kwa viwango vya ufaulu kwa shule za Msingi na Sekondari kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana kumeelezwa kutokana na kutekelezwa kwa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa wakati wa kuzindua vitabu vya Uchambuzi wa Matokeo ya Shule za Msingi kwa mwaka 2013 katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ katika elimu

Matatizo yanayoendelea kuzikabili shule za msingi, sekondari na vyuo vya elimu ya juu hapa nchini yamejenga dhana miongoni mwa wananchi kwamba Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika sekta ya elimu nchini hautapata mafanikio au kufikia malengo yaliyokusudiwa katika muda uliopangwa. Itakumbukwa kwamba mpango huo ulizinduliwa Agosti 14, 2013 na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi jijini Dar es Salaam sambamba na maonyesho ya wazi.

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA RUKWA AFANYA ZIARA YA KUHAMASISHA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN) KATIKA SEKTA YA ELIMU MKOANI HUMO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akizungumza kwa hisia kubwa na wanafunzi wa shule ya Sekondari Itwelele iliyopo Manispaa ya Sumbawanga leo tarehe 15/07/2014 ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya kuhamasisha mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa shule za Msingi na Sekondari Mkoani Rukwa. Katika ziara yake hii amepata fursa ya kuonana na wanafunzi na wadau wa elimu zikiwemo kamati za shule mbalimbali katika kata za Manispaa ya Sumbawanga na viongozi katika kujadili na kuweka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa

ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ Madola

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow, Scotland katika ufunguzi wa Michezo ya Jumuiya ya Madola itakayofanyika Julai 23 kwenye Uwanja wa Celtic Perth.

 

11 years ago

Habarileo

Darasa la 7 kufanya tena Matokeo Makubwa Sasa

WANAFUNZI wa Darasa la Saba waliofanya mtihani wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) wakiwa darasa la sita, watafanya mtihani mwingine wa aina hiyo kabla ya kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu kwa lengo la kuongeza ufaulu.

 

11 years ago

Habarileo

Sekondari 1,200 zaingizwa `Matokeo Makubwa Sasa’

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru KawambwaSHULE 1, 200 za sekondari zilizojengwa na wananchi kwa kushirikiana na Serikali zimeingizwa kwenye utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa ajili ya uboreshaji wa mazingira ya kufundishia na kujifunzia, imefahamika.

 

11 years ago

Habarileo

Diwani: Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho

DIWANI wa Kata ya Kaengesa, Ameir Nkurlu amedai mpango wa Serikali wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho, hauwezekani kutekelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani