Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Angel Eaton yu tayari kwa Olimpiki 2016

Bingwa wa michuano ya gofu ya wazi ya Uganda, Mtanzania Angel Eaton amesema yuko tayari kwa ajili ya Olimpiki ya mwakani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tuanze sasa maandalizi ya Olimpiki 2016

Michezo ya Olimpiki 2016 itafanyika Rio de Janeiro, Brazil kuanzia Agosti 5 mpaka 21.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je mji wa Rio uko tayari kuandaa Olimpiki

Je Mji wa Rio uko tayari kuandaa makala yajayo ya mashindano ya Olimpiki 2016 ?

 

10 years ago

Mwananchi

Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016

>Tanzania haitashiriki michezo ya soka  kimataifa hadi mwaka 2016 kutokana na timu yake ya  vijana  wa umri chini ya miaka 23  kutoshiriki michuano ya kusaka  tiketi ya kushiriki Olimpiki  msimu wa 2015/2016.

 

9 years ago

MillardAyo

Tayari ninazo #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania January4, 2016

Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa nimezikusanya zote zilizoguswa na #Tweets za #Magazeti  January 4, 2016, unazisoma zote kwa pamoja. Matajiri maliasili kutumbuliwa, Serikali kupitia upya bei ya umiliki vitalu vya […]

The post Tayari ninazo #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Michezo ya Olimpiki yaahirishwa kwa hofu ya Coronavirus

Waandalizi wa michezo ya Olimpiki Tokyo 2020, ambayo ilikuwa ing'oe nanga Julai 24, wamekubali kuahirisha michezo hiyo ya kimataifa kwa mwaka mmoja kutokana na na janga la coronavirus.

 

5 years ago

BBCSwahili

Olimpiki mbioni kuahirishwa kwa hofu ya Coronavirus

Japan yakiri inaweza kuahirisha Olimpiki kutokana na mlipuko wa virusi vya corona

 

10 years ago

GPL

MAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI

Walimu waliokuwa wakiendesha mafunzo kwa watoto hao wakiwa katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Beatha Qambayot, Zilpa Masunga, Mtendaji Mkuu wa Olimpiki Maalumu Tanzania, Frank Macha na Alphonsia Mwairafu. Walimu hao wakiwa wameshika mipira ya kufundishia. (Imeandaliwa na mtandao wa habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)…

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI LEO

Walimu waliokuwa wakiendesha mafunzo kwa watoto hao wakiwa katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Beatha Qambayot, Zilpa Masunga, Mtendaji Mkuu wa Olimpiki Maalumu Tanzania, Frank Macha na Alphonsia Mwairafu.Walimu hao wakiwa wameshika mipira ya kufundishia.Watoto wenye ulemavu wa akili wakiwa katika picha na  wazazi, pamoja na walimu wao baada ya kumaliza mafunzo  ya mwezi mmoja ya Olimpiki Maalumu Tanzania  yaliyofikia tamati wilayani Temeke Dar es Salaam leo.

BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

5 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa Bingwa wa Olimpiki Wilfred Bungei asema kushinda kwake vita ya unywaji wa pombe kupindukia kutatoa mwanga wa matumaini kwa wengine

Wilfred Bungei wa Kenya, Bingwa wa Olimpiki wa mbio za mita 800, Beijing, asimulia namna alivyopigana na unywaji wa pombe kupindukia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani