Olimpiki mbioni kuahirishwa kwa hofu ya Coronavirus
Japan yakiri inaweza kuahirisha Olimpiki kutokana na mlipuko wa virusi vya corona
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 Mar
Michezo ya Olimpiki yaahirishwa kwa hofu ya Coronavirus
Waandalizi wa michezo ya Olimpiki Tokyo 2020, ambayo ilikuwa ing'oe nanga Julai 24, wamekubali kuahirisha michezo hiyo ya kimataifa kwa mwaka mmoja kutokana na na janga la coronavirus.
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Ubaguzi dhidi ya raia wa Kigeni Afrika Mashariki kwa hofu ya virusi
Huku maambukizi ya Corona yakiendelea kuongezeka Afrika, hofu ya janga hili linalokumba dunia limepelekea ubaguzi dhidi ya raia wa kigeni Afrika Mashariki.
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mechi za Ligi ya soka ya England kuahirishwa hadi tarehe 3 Aprili
Mechi za Ligi kuu ya soka ya England zitaahirishwa hadi tarehe 4 Aprili kufuatia baadhi ya wachezaji wa ligi hio kupatikana na maambukizi ya virusi vya Corona.
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Zaidi ya watalii 1700 wawekwa karantini melini kwa hofu ya maambukizi Afrika Kusini
Zaidi ya watu 1,700 wamewekwa karantini kwenye meli ya kitalii na meli ya kubeba mizigo kwenye pwani ya Cape Town nchini Afrika Kusini kwa hofu kwamba baadhi yao wameambukizwa na virusi vya corona.
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Ov7a-yrWBB8/VUS02RN-DDI/AAAAAAAC364/H6k95Dq_3xM/s1600/NSSF%2BStakeholders%2BAd%2BSw%2BBlogs%2B052015.jpg)
9 years ago
CHADEMA BlogTAARIFA YA KUAHIRISHWA KWA MKUTANO WA CHADEMA
Taarifa inatolewa kwa wapenzi, mashabiki, wafuasi na wanachama wa CHADEMA, wanaUKAWA na umma wa Watanzania wote wapenda mabadiliko kwa ujumla kuhusu mkutano mkubwa wa hadhara wa kesho katika Viwanja vya Jangwani, jijini Dar Es Salaam ambao umeshatangazwa kwa njia mbalimbali za upashanaji habari, umeahirishwa hadi hapo maelekezo na utaratibu mwingine utakapotolewa baadae.Ni vyema kuwataarifu
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Angel Eaton yu tayari kwa Olimpiki 2016
Bingwa wa michuano ya gofu ya wazi ya Uganda, Mtanzania Angel Eaton amesema yuko tayari kwa ajili ya Olimpiki ya mwakani.
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Jinsi wahalifu wa mtandaoni wanavyoongeza hofu katika jamii
Barua pepe tano ambazo wahalifu wa mtandaoni wamekuwa wanatumia kuwalaghai watu kuhusu corona.
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Coronavirus : Hofu yawafanya kununua maburungutu mengi ya karatasi za chooni
Karatasi za chooni zimekuwa bidhaa adimu Australia na kufanya kugombewa madukani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania