Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus : Hofu yawafanya kununua maburungutu mengi ya karatasi za chooni

Karatasi za chooni zimekuwa bidhaa adimu Australia na kufanya kugombewa madukani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wezi waliokuwa wamejihami waiba mamia ya karatasi za chooni Hong Kong

Karatasi za chooni zimekuwa nadra sana wakati wasiwasi wa mlipuko wa virusi vya corona ukiongezeka.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Karatasi za chooni zafichia wahamiaji


NA WILIUM PAUL, MOSHI
POLISI mkoani Kilimanjaro inawashikilia wahamiaji haramu 52 ambao ni raia wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria wakitokea Kenya kwenda Malawi na baadaye Afrika Kusini.
Wahamiaji hao waliokamatwa jana saa 8.23 za asubuhi wakati askari wakiwa doria katika eneo la Changbay, barabara kuu ya Moshi ñ Arusha wilayani Moshi, walikuwa raia 44 wa Ethiopia.
Kamanda Polisi mkoani hapa, Geofrey Kamwela, alisema raia hao walikuwa wakisafirishwa kwenye gari aina ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je unawezaje kununua chakula na bidhaa madukani kwa usalama?

Wataalamu wanatoa ushauri kuhusu namna unavyoweza kuepuka maambukizi ya virusi vya corona unaponunua chakula.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje?

Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu manunuzi ya chakula kingi hasa katika uhifadhi wake katika maeneo yenye miundombinu mibaya ya uhifadhi, pia hali ya uchumi.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Shida yawafanya kumkumbuka Muhongo

>Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Butiama mkoani Mara, limemwomba Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene kuingilia kati mradi wa usambazaji umeme vijijini uliokwama tangu alipoondolewa mtangulizi wake, Profesa Sospeter Muhongo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Olimpiki mbioni kuahirishwa kwa hofu ya Coronavirus

Japan yakiri inaweza kuahirisha Olimpiki kutokana na mlipuko wa virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Michezo ya Olimpiki yaahirishwa kwa hofu ya Coronavirus

Waandalizi wa michezo ya Olimpiki Tokyo 2020, ambayo ilikuwa ing'oe nanga Julai 24, wamekubali kuahirisha michezo hiyo ya kimataifa kwa mwaka mmoja kutokana na na janga la coronavirus.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi wahalifu wa mtandaoni wanavyoongeza hofu katika jamii

Barua pepe tano ambazo wahalifu wa mtandaoni wamekuwa wanatumia kuwalaghai watu kuhusu corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi utalii unavyoathiriwa na hofu ya virusi vya corona Zanzibar

Kisiwa cha Zanzibar hakina kisa chochote cha virusi vya ugonjwa wa corona licha ya kwamba uchumi wake umeathirika pakubwa kutokana na watalii kuwa na hofu kuhusu janga hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani