Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYANZA: Shida yawafanya kumkumbuka Muhongo

>Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Butiama mkoani Mara, limemwomba Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene kuingilia kati mradi wa usambazaji umeme vijijini uliokwama tangu alipoondolewa mtangulizi wake, Profesa Sospeter Muhongo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus : Hofu yawafanya kununua maburungutu mengi ya karatasi za chooni

Karatasi za chooni zimekuwa bidhaa adimu Australia na kufanya kugombewa madukani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Dunia wazidi kumkumbuka Mandela

Watu mbalimbali duniani wameendelea kumwelezea Nelson Mandela alikuwa mtu wa namna gani na harakati zake za ukombozi

 

11 years ago

Habarileo

Ajinyonga baada ya kumkumbuka mkewe

MKAZI wa Mtoni Kijichi, Richard Kijazi (36) amekutwa amekufa kwa kujinyonga chooni na kuacha ujumbe kwamba amejiua kwa sababu ya kumkumbuka marehemu mkewe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo, alisema jana kuwa Kijazi alijiua juzi saa 11:15 jioni katika maeneo ya Mtoni Kijichi, Wilaya ya Temeke.

 

11 years ago

Mwananchi

JK, marais wastaafu, Pengo kumkumbuka Sokoine

Rais Jakaya Kikwete na Kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ni miongoni mwa watu mashuhuri wanaotarajiwa kuhudhuria maadhimisho ya miaka 30 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, hayati Moringe Sokoine yanayofanyika leo nyumbani kwake Monduli Juu, Wilaya ya Monduli mkoani Arusha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marasta kumkumbuka Bob Marley leo

JUMUIYA ya Marastafarian Tanzania, (Taramo), imeandaa Tamasha la kumbukumbu ya muasisi wa muziki wa Reggae ulimwenguni, Nesta Robert, maarufu kama Bob Marley litakalofanyika ufukwe wa hoteli  ya Mbalamwezi jijini Dar...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Slaa: Sina lolote la kumkumbuka Rais Kikwete

>Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema hakuna jambo lolote litakalomfanya amkumbuke Rais Jakaya Kikwete baada ya uongozi wake mwakani, akisema anachofanya sasa kiongozi huyo ni kuzindua miradi iliyowekwa na Serikali ya Awamu ya Tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mume achomwa kwa kumkumbuka marehemu mkewe

Mwanamume aliyechomwa kwa kumkumbuka marehemu mke wake amesema haoni haya tena kuwa alichomwa na maji moto

 

11 years ago

GPL

LEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA

Binti akiwa na mshumaa wakati wa ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Regina Mundi lililopo Soweto, Afrika Kusini leo. Waumini wakiwa katika ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Methodist mjini Johannesburg leo. (Picha na Reuters) Wananchi wa Afrika Kusini leo wanashirki maombi ya kitaifa ya… ...

 

10 years ago

Michuzi

Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi

Nuru Mwasampeta na Veronica Simba, Dar es Salaam Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Wizara yake imejipanga kuhakikisha inajengwa mitambo ya uchakataji madini (Mineral Processing Plants) hapa nchini ili kuondokana na utaratibu wa kusafirisha madini ghafi nje ya nchi na badala yake zisafirishwe bidhaa zitokanazo na madini husika ili kuongeza thamani na hivyo kukuza pato la nchi.  Aliyasema hayo  alipokutana na kuzungumza na Wawekezaji wa Kampuni ya Chinalco ya nchini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani