Dunia wazidi kumkumbuka Mandela
Watu mbalimbali duniani wameendelea kumwelezea Nelson Mandela alikuwa mtu wa namna gani na harakati zake za ukombozi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLLEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA
Binti akiwa na mshumaa wakati wa ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Regina Mundi lililopo Soweto, Afrika Kusini leo. Waumini wakiwa katika ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Methodist mjini Johannesburg leo. (Picha na Reuters) Wananchi wa Afrika Kusini leo wanashirki maombi ya kitaifa ya… ...
11 years ago
GPL‘SAUZI’ YAMTAFUTA MKALIMANI FEKI WA VIZIWI KWENYE IBADA YA KUMKUMBUKA MANDELA
Rais wa Marekani,  Barack Obama, akihutubia karibu na mkalimani feki kwenye ibada ya kumkumbuka hayati Mandela. Mkalimani feki (kulia) akiwa kazini. Kushoto ni Rais wa Marekanai, Barrack Obama wakati akihutubia. (PICHA NA…
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Dunia yamuaga Tata Mandela
Viongozi, familia na marafiki wametoa heshima zao za mwisho kwa hayati Nelson Mandela katika mazishi yake ya kitaifa katika kijiji cha Qunu katika mkoa wa Cape Mashariki.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dunia yaadhimisha Siku ya Mandela
KATIKA kutambua na kukumbuka mchango wa aliyekuwa Rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela, dunia imeadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa mara ya kwanza tangu kifo chake. Katika...
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Dunia yamkumbuka hayati Mandela
Hii leo ni siku ya kimataifa ya kusherehekea maisha ya hayati Nelson Mandela.Wananchi wa Afrika Kusini wamefanya shughuli mbali mbali za kijamii kumkumbuka
11 years ago
GPLMAZISHI YA MANDELA, DUNIA KIMYA
Stori: Oscar Ndauka na Ojuku Abraham
DUNIA ipo kimya wakati maandalizi ya kuupumzisha kaburini mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela yakiendelea katika miji ya Johannesburg, Pretoria na kijijini Qunu, Mkoa wa Mthatha jimboni Eastern Cape atakozikwa kijijini atakakozikwa. UKIMYA WATANDA KWENYE TELEVISHENI
Ukimya uliendelea kutawala juzi na jana katika miji mbalimbali duniani, watu...
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Dunia imempa Mandela heshima anayostahili
RAIS wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela alizikwa jana Jumapili kijijini kwake, Qunu kwa heshima zote za kitaifa, kimataifa na kimila.
11 years ago
BBCSwahili06 Dec
Dunia yaomboleza kifo cha Mandela
Viongozi wa dunia pamoja na wananchi wamejitokeza katika sehemu nyingi duniani pamoja na Afrika Kusini wakiomboleza kifo cha kiongozi wao Mandela
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mandela aivuta dunia kuhamia Afrika Kusini
Johannesburg. Viongozi zaidi ya sabini wakiwamo wakuu wa nchi na Serikali wanatarajiwa kushiriki hatua mbalimbali za safari ya mwisho ya Mzee Mandela aliyefariki Alhamisi ya Desemba tano usiku.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania