Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dunia wazidi kumkumbuka Mandela

Watu mbalimbali duniani wameendelea kumwelezea Nelson Mandela alikuwa mtu wa namna gani na harakati zake za ukombozi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA

Binti akiwa na mshumaa wakati wa ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Regina Mundi lililopo Soweto, Afrika Kusini leo. Waumini wakiwa katika ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Methodist mjini Johannesburg leo. (Picha na Reuters) Wananchi wa Afrika Kusini leo wanashirki maombi ya kitaifa ya… ...

 

11 years ago

GPL

‘SAUZI’ YAMTAFUTA MKALIMANI FEKI WA VIZIWI KWENYE IBADA YA KUMKUMBUKA MANDELA

Rais wa Marekani,  Barack Obama, akihutubia karibu na mkalimani feki kwenye ibada ya kumkumbuka hayati Mandela. Mkalimani feki (kulia) akiwa kazini. Kushoto ni Rais wa Marekanai, Barrack Obama wakati akihutubia. (PICHA NA…

 

11 years ago

BBCSwahili

Dunia yamuaga Tata Mandela

Viongozi, familia na marafiki wametoa heshima zao za mwisho kwa hayati Nelson Mandela katika mazishi yake ya kitaifa katika kijiji cha Qunu katika mkoa wa Cape Mashariki.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dunia yaadhimisha Siku ya Mandela

KATIKA kutambua na kukumbuka mchango wa aliyekuwa Rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela, dunia imeadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa mara ya kwanza tangu kifo chake. Katika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Dunia yamkumbuka hayati Mandela

Hii leo ni siku ya kimataifa ya kusherehekea maisha ya hayati Nelson Mandela.Wananchi wa Afrika Kusini wamefanya shughuli mbali mbali za kijamii kumkumbuka

 

11 years ago

GPL

MAZISHI YA MANDELA, DUNIA KIMYA

Stori: Oscar Ndauka na Ojuku Abraham
DUNIA ipo kimya wakati maandalizi ya kuupumzisha kaburini mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela yakiendelea katika miji ya Johannesburg, Pretoria na kijijini Qunu, Mkoa wa Mthatha jimboni Eastern Cape atakozikwa kijijini atakakozikwa. UKIMYA WATANDA KWENYE TELEVISHENI
Ukimya uliendelea kutawala juzi na jana katika miji mbalimbali duniani, watu...

 

11 years ago

Mwananchi

Dunia imempa Mandela heshima anayostahili

RAIS wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela alizikwa jana Jumapili kijijini kwake, Qunu kwa heshima zote za kitaifa, kimataifa na kimila.

 

11 years ago

BBCSwahili

Dunia yaomboleza kifo cha Mandela

Viongozi wa dunia pamoja na wananchi wamejitokeza katika sehemu nyingi duniani pamoja na Afrika Kusini wakiomboleza kifo cha kiongozi wao Mandela

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela aivuta dunia kuhamia Afrika Kusini

Johannesburg. Viongozi zaidi ya sabini wakiwamo wakuu wa nchi na Serikali wanatarajiwa kushiriki hatua mbalimbali za safari ya mwisho ya Mzee Mandela aliyefariki Alhamisi ya Desemba tano usiku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani