Dunia yamkumbuka hayati Mandela
Hii leo ni siku ya kimataifa ya kusherehekea maisha ya hayati Nelson Mandela.Wananchi wa Afrika Kusini wamefanya shughuli mbali mbali za kijamii kumkumbuka
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/12/10/article-2521216-19FFE51000000578-399_964x559.jpg?width=640)
DUNIA YAMKUMBUKA MANDELA KATIKA MKUSANYIKO MKUBWA SOWETO
Ndugu na jamaa wa Mandela wakiwa wamekaa uwanjani huku mvua ikinyesha katika ibada ya kumkumbuka Mandela. Picha kubwa ya Mandel ikiwa katika Uwanja wa FNB.…
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s72-c/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
TUZO YA HESHIMA KUTOLEWA KWA BABA WA TAIFA HAYATI JK NYERERE NA HAYATI NELSON MANDELA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s1600/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
MGENI RASMI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Mrisho Kikwete
WAGENI WAALIKWA:
Mara baada ya Hafla ya Tuzo ya Jamii ambapo Washindi wote watapewa Tuzo na Mgeni Rasmi, Kutakuwa na Dhifa ya Kitaifa ya Tuzo ya Jamii ambayo itahudhuriwa na wageni wafuatao:
Wapewa Tuzo, Familia za wapewa Tuzo, Viongozi...
12 years ago
BBCSwahili17 Jun
Barabara za Hayati Mandela
Barabara nyingi duniani zimepewa jina la Mandela ishara ya alivyopendwa sana sio Afrika tu bali duniani kote
11 years ago
BBCSwahili03 Feb
Mali ya hayati Mandela yatangazwa
Hayati Nelson Mandela aliacha mali yenye thamani ya dola milioni nne ambayo alisema igawanywe kati ya familia, shule na chama cha ANC
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mjukuu wa hayati mzee Mandela ahukumiwa
Mjukuu wa hayati Mzee Nelson Mandela amepatikana na hatia ya kusababisha majeraha
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Hayati Mandela aendelea kumiminiwa sifa
Mwili wa hayati Nelson Mandela umewekwa katika jengo la Union ambako aliapishwa wakati aliingia mamlakani mwaka 1994 ili wageni waweze kuutizama.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbcg5rxLC4aMq3jo0p47ZfOpfKCxAzsdbsM3LSelnclkIYvpGzCVtVkhs2CZztcYNcl58fhKj9Mwp6Oqs-5ZO4y/JK.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KATIKA KUMBUKUMBU YA HAYATI NELSON MANDELA
Rais Jakaya Kikwete (wa nne kutoka kulia mstari wa pili) akiwa na mkewe mama Salma Kikwete katika ibada ya Kumbukumbu ya Kifo cha aliyekuwa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Mheshimiwa Nelson R Mandela. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Desemba 10, 2013, ameungana na viongozi wa mataifa mbali mbali duniani na maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini Kuadhimisha...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Koffi Annan: Viongozi Afrika igeni mfano wa Hayati Nelson Mandela
Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa, Kofi Annan amesema umoja wa viongozi wa dunia waliokutanishwa na Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela utaendelea kufanya kazi yake ya kuhakikisha amani na usalama vinatawala dunia.
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Dunia wazidi kumkumbuka Mandela
Watu mbalimbali duniani wameendelea kumwelezea Nelson Mandela alikuwa mtu wa namna gani na harakati zake za ukombozi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania