Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘SAUZI’ YAMTAFUTA MKALIMANI FEKI WA VIZIWI KWENYE IBADA YA KUMKUMBUKA MANDELA

Rais wa Marekani,  Barack Obama, akihutubia karibu na mkalimani feki kwenye ibada ya kumkumbuka hayati Mandela. Mkalimani feki (kulia) akiwa kazini. Kushoto ni Rais wa Marekanai, Barrack Obama wakati akihutubia. (PICHA NA…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MKALIMANI IBADA YA MANDELA AOMBA RADHI, AJIITA BINGWA

Thamsanqa Jantjie akiwa 'beneti' na Rais Barack Obama wa Marekani siku ya ibada ya Mandela.
Thamsanqa Jantjie. MKALIMANI wa ishara za viziwi aliyeshambuliwa wakati wa ibada ya hayati Nelson Mandela amejitetea na kusema anaifahamu kazi yake vyema. Mtu huyo, Thamsanqa Jantjie, alisema jana ana ujuzi mkubwa wa kazi hiyo na ameifanya katika matukio mengine makubwa nchini humo. “Nimeifanya kazi hii kwa miaka mingi,”...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkalimani wa mazishi ya Mandela alazwa

Mkalimani wa lugha ya ishara katika mazishi ya kitaifa,ya Nelson Mandela,amelazwa katika hospitali ya magonjwa ya akili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkalimani wa mazishi ya Mandela aajiriwa

Mkalimani katika mazishi ya Mandela apata ajira

 

11 years ago

Habarileo

Mkalimani wa Mandela alazwa kwa uchizi

Mkalimani Thamsanqa JantjieMKALIMANI mtata katika ibada maalumu ya kumkumbuka kiongozi wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika uwanja wa FNB jijini Johannesburg Desemba 10 amelazwa hospitalini kwa matatizo ya akili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Dunia wazidi kumkumbuka Mandela

Watu mbalimbali duniani wameendelea kumwelezea Nelson Mandela alikuwa mtu wa namna gani na harakati zake za ukombozi

 

11 years ago

GPL

LEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA

Binti akiwa na mshumaa wakati wa ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Regina Mundi lililopo Soweto, Afrika Kusini leo. Waumini wakiwa katika ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Methodist mjini Johannesburg leo. (Picha na Reuters) Wananchi wa Afrika Kusini leo wanashirki maombi ya kitaifa ya… ...

 

11 years ago

GPL

SAUZI YAJAA MSIBA WA MANDELA

Wanajeshi wakiwa wameubeba mwili wa hayati Mandela kuelekea ofisi za serikali jijini Pretoria. Mwandishi Wetu na Mitandao
MAOMBOLEZO ya kifo cha aliyekuwa rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela yanaendelea, kubwa kuliko ni nchi hiyo yenye kilomita za mraba 2,798 kufurika waombolezaji kutoka pande zote za dunia na hivyo, hakuna pa kukanyaga na hali hii ni mwanzo na mwisho!… ...

 

9 years ago

MillardAyo

Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video)

Hoverboard ni jina la kiingereza lakini sina uhakika kama kuna jina rasmi la kiswahili limepatikana kuviita hivi vifaa… ni kama fashion sasahivi utaona mastaa kibao wanapost video wanatembea navyo !! Lakini kama haujaviweza tafadhali mtu wangu, hata usithubutu kuvijaribu.. Ripoti ya stori kwenye mtandao wa BBC inasema waumini kadhaa wamemshutumu Paroko mmoja wa Ufilipino ambae […]

The post Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video) appeared...

 

11 years ago

Mwananchi

Ibada maalumu ya Mandela

Afrika Kusini, jana ilitawaliwa na ibada na maombi yaliyofanyika katika makanisa mbalimbali kuliombea taifa, baada ya kifo cha Rais wa Kwanza mzalendo, Nelson Mandela.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani