Ibada maalumu ya Mandela
Afrika Kusini, jana ilitawaliwa na ibada na maombi yaliyofanyika katika makanisa mbalimbali kuliombea taifa, baada ya kifo cha Rais wa Kwanza mzalendo, Nelson Mandela.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Ibada maalum ya Mandela
Maelfu walikusanyika mjini Johannesburg kwa ibada maalum ya mandela kama njia ya kuonyesha heshima kwa shujaa huyo wa Afrika
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Mandela afanyiwa ibada Maalum
Maelfu walijumuika na viongozi zaidi ya tisini mjini Johannesburg kwa ibada hiyo maalum
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSZGZyD-qchwt4ThoDRKnlN2xiVX11R6vv5Vwe9JMl9pygJ7ESUONXyvJIPBMu*u6eFVp3r8iI1k05C6rfMzXimD/madiba2.jpg?width=650)
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Ibada maalumu ya Bunge la Katiba leo Dom
Wakati viongozi wa dini wakipaza sauti kutaka maoni ya wananchi kuheshimiwa, Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma, leo litaendesha sala maalumu ya kuliombea Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcrjXI*vJZf-Pfv-v7dFzjGMWf1dWYQeGfXV0c1M-AkgP380GFSqURNvMRCJh1f9r6lKQKpiEVrg5bBx7J3Zphbo/MKALIMANISAUZI1.jpg)
MKALIMANI IBADA YA MANDELA AOMBA RADHI, AJIITA BINGWA
Thamsanqa Jantjie akiwa 'beneti' na Rais Barack Obama wa Marekani siku ya ibada ya Mandela.
Thamsanqa Jantjie. MKALIMANI wa ishara za viziwi aliyeshambuliwa wakati wa ibada ya hayati Nelson Mandela amejitetea na kusema anaifahamu kazi yake vyema. Mtu huyo, Thamsanqa Jantjie, alisema jana ana ujuzi mkubwa wa kazi hiyo na ameifanya katika matukio mengine makubwa nchini humo. “Nimeifanya kazi hii kwa miaka mingi,â€...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbMI6OY0WWIc2VyFcsGV5boMPwOfEHjyRrLsmQquh5EWF*cySa7Jf3b1UWnHqc7kjICp-*PKzR06h8RQAFiQ3oY/Nelson_Mandela_MGN.1372021643.jpg)
IBADA YA KITAIFA AFRIKA KUSINI KUMUAGA MANDELA LEO
Marehemu Nelson Rolihlahla Mandela enzi za uhai wake. Leo inafanyika ibada kubwa ya kitaifa Uwanja wa FNB, Johannesburg kumuaga Nelson Mandela ambapo viongozi mbalimbali watahudhuria ibada hiyo wakiwemo Rais Barrack Obama na mkewe Michelle, Rais Jakaya Kikwete, Rais Robert Mugabe na mkewe, Rais Uhuru Kenyatta na mkewe, Rais Yoweri Museveni, Rais Joyce Banda na wengineo wengi. ...
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
DC Makonda azindua ibada ya makundi maalumu katika kanisa la Kilutheri Usharika wa Kigogo Jijini Dar
10 years ago
GPLPAUL MAKONDA AZINDUA IBADA YA MAKUNDI MAALUMU KATIKA KANISA LA KILUTHERI USHARIKA WA KIGOGO DAR
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Kigogo na vijana waliopo katika kundi maalumu kutokana na kuathiriwa na matumizi ya dawa za kulevya wakati akizindua ibada ya makundi maalumu iliyoanzishwa katika kanisa hilo Dar es Salaam jana.  Msaidizi mstaafu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), George Fute...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcq8mxXMwaPLLuaqCSeiuT*RYRx7mOAStiHemNHrqs8QleuEovGHxZ*-reBwrJVv7KH6cfRNHWxBta1u00HbRJw7/GUMASHI.jpg?width=650)
‘SAUZI’ YAMTAFUTA MKALIMANI FEKI WA VIZIWI KWENYE IBADA YA KUMKUMBUKA MANDELA
Rais wa Marekani,  Barack Obama, akihutubia karibu na mkalimani feki kwenye ibada ya kumkumbuka hayati Mandela. Mkalimani feki (kulia) akiwa kazini. Kushoto ni Rais wa Marekanai, Barrack Obama wakati akihutubia. (PICHA NA…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania