Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAUZI YAJAA MSIBA WA MANDELA

Wanajeshi wakiwa wameubeba mwili wa hayati Mandela kuelekea ofisi za serikali jijini Pretoria. Mwandishi Wetu na Mitandao
MAOMBOLEZO ya kifo cha aliyekuwa rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela yanaendelea, kubwa kuliko ni nchi hiyo yenye kilomita za mraba 2,798 kufurika waombolezaji kutoka pande zote za dunia na hivyo, hakuna pa kukanyaga na hali hii ni mwanzo na mwisho!… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

‘SAUZI’ YAMTAFUTA MKALIMANI FEKI WA VIZIWI KWENYE IBADA YA KUMKUMBUKA MANDELA

Rais wa Marekani,  Barack Obama, akihutubia karibu na mkalimani feki kwenye ibada ya kumkumbuka hayati Mandela. Mkalimani feki (kulia) akiwa kazini. Kushoto ni Rais wa Marekanai, Barrack Obama wakati akihutubia. (PICHA NA…

 

11 years ago

Habarileo

Vituko msiba wa Mandela

MKALIMANI aliyekuwa akitafsiri kwa alama kwa ajili ya walemavu wasiosikia yaliyokuwa yakisemwa na viongozi na watu mbalimbali katika mazishi ya kitaifa ya kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika uwanja wa FNB, Johannesburg, Jumanne alipatwa na uchizi jukwaani.

 

11 years ago

GPL

MAAJABU 10 MSIBA WA MANDELA

Stori: Na Waandishi Wetu
RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela, mweusi wa kwanza kushika wadhifa huo katika taifa lenye uwezo mkubwa kiuchumi na kijeshi barani Afrika, alifariki dunia Alhamisi iliyopita akiwa nyumbani kwake jijini Johannesburg. Nelson Mandela. Kifo chake kimeushtua ulimwengu na kwa mara ya kwanza katika historia, dunia nzima imesimama nyuma ya jemedari huyo, kila mmoja akionesha masikitiko yake....

 

11 years ago

Mwananchi

Nafasi ya Tanzania imeonekana msiba wa Mandela

>Matukio mbalimbali yaliyotokea Jumapili kwenye mazishi ya Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela yamenikumbusha yaliyotokea katika sherehe za miaka 50 tangu kuanzishwa OAU, sasa Umoja wa Afrika (AU).

 

11 years ago

GPL

KESI YA MWINGIRA: MAHAKAMA YAJAA WAUMINI WAKE

Stori: Richard Bukos na Makongoro Oging'
KESI namba 306/13 inayomkabili Nabii na Mtume wa Kanisa la Ephata la Dar, Josephat Mwingira, ya kuzaa na mke wa mtu, Alhamisi iliyopita iliunguruma mahakamani na kusababisha watu kufurika wanaoaminika kuwa ni waumini wake. Mtume na Nabii Josephat Mwingira. Mlalamikaji katika kesi hiyo, Dokta William Morris alimfungulia kesi Nabii Mwingira katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

10 years ago

Michuzi

MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya Serikali wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Luteni mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Marehemu Martin David Msuguri wakati wa ibada ya kumuaga na mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Baba yake, Jenerali mstaafu David Msuguri, Butihama mkoani Mara Juni 21.2015. Marehemu Martin alifariki Juni 19 mwaka huu katika Hospitali ya Lugalo...

 

10 years ago

GPL

WABONGO SAUZI SI SALAMA

INATISHA! Huku Wabongo wengi wakiendelea kukimbilia Afrika Kusini (Sauzi) kwa kigezo cha kutafuta maisha mazuri, imethibitika kwamba hali ya amani nchini humo si salama. Wahamiaji wakionekana kujiokoa pamoja na watoto wao. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka nchini humo, Wabongo wengi na wageni wengine kutoka nchi tofautitofauti Afrika kama Zimbabwe, Botswana, Namibia na nchi nyingine wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya kikatili...

 

11 years ago

GPL

MASOGANGE AHAMIA SAUZI

VIDEO Queen matata Bongo, Agness Jelard ‘Masogange’ amehamia nchini Afrika Kusini ‘sauzi’ kwa ajili ya kutafuta maisha. Akipiga stori na paparazi wetu, Masogange alisema ameamua kuhamia nchini humo ambapo ndipo atakapokuwa akiishi maisha yake yote na Tanzania atakuwa anakuja kutembea tu. Video Queen matata Bongo, Agness Jelard ‘Masogange’. “Nimeamua hivyo kwani nahisi huku ndiy  o...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani