MAAJABU 10 MSIBA WA MANDELA
![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSaFv6-6hEPe*0-x9Ta7S7d2PpDMqOgAHnW5pd1iCr835MzuPUv3*4HjmE84ZKl5M-XfN-bQP6NzhpQPNjfrcz4D/MAAJABU.jpg?width=650)
Stori: Na Waandishi Wetu RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela, mweusi wa kwanza kushika wadhifa huo katika taifa lenye uwezo mkubwa kiuchumi na kijeshi barani Afrika, alifariki dunia Alhamisi iliyopita akiwa nyumbani kwake jijini Johannesburg. Nelson Mandela. Kifo chake kimeushtua ulimwengu na kwa mara ya kwanza katika historia, dunia nzima imesimama nyuma ya jemedari huyo, kila mmoja akionesha masikitiko yake....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Dec
Vituko msiba wa Mandela
MKALIMANI aliyekuwa akitafsiri kwa alama kwa ajili ya walemavu wasiosikia yaliyokuwa yakisemwa na viongozi na watu mbalimbali katika mazishi ya kitaifa ya kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika uwanja wa FNB, Johannesburg, Jumanne alipatwa na uchizi jukwaani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpxXxrPd3jr4HTwXtHX9VlgYGie9nnSANRb2fBlTU*M1NN2wqPMX6HDpreUyHl7lzrxe0VFYRBduPbdriJk-faNm/madiba.jpg?width=650)
SAUZI YAJAA MSIBA WA MANDELA
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Nafasi ya Tanzania imeonekana msiba wa Mandela
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmYtX1XlvEZsKdx*uvfR1sOpMOOhnw6TDgiJfOPmsRH27NHln5FphnrWi8gJmP*XsEEnreJuFRdVWPyH-KGi8Z18/maajabuhaswa.jpg?width=650)
MAAJABU YA MUNGU!
11 years ago
Habarileo11 Dec
Maajabu ya Madiba
KATIKA uhai wake mpambanaji dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, Nelson Mandela, aliishangaza dunia alipotangaza msamaha kwa waliomtesa na akiwa marehemu, amekutanisha viongozi mahasimu wa kisiasa duniani katika uwanja mmoja wakimuaga. Hicho ndicho kilichomsukuma mshindi mwenzake wa Tuzo ya Nobel, Askofu Desmond Tutu, kusema Mandela alikuwa wa maajabu na alionesha maajabu akiwa hivi sasa ni marehemu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvPfPWQ8AxncILMsIk5bHcPuXwSmYiKiFf3h8d-JYt4u4Bjl9KOIAanS8sZzmvfRo0DFrTBhFLypgHwFbsCwo*xa/BACKAMANI.jpg)
MAAJABU YA MTOTO WA MIUJIZA
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Maajabu ya damu mwilini (5)