MAAJABU YA MUNGU!
![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmYtX1XlvEZsKdx*uvfR1sOpMOOhnw6TDgiJfOPmsRH27NHln5FphnrWi8gJmP*XsEEnreJuFRdVWPyH-KGi8Z18/maajabuhaswa.jpg?width=650)
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro KATIKA hali ya kushangaza, wagonjwa wa mtindio wa ubongo, Paul Ngido na Asha Yahya wanaolelewa kwenye kituo cha watoto wenye matatizo mbalimbali wakiwemo yatima cha Ngido kilichopo Mazimbu FK mkoani hapa wamejikuta wakizaa watoto wawili, Keisha na Glory ndani ya kituo hicho. Paul Ngido na Asha Yahya wanaolelewa kwenye kituo cha watoto wenye matatizo mbalimbali waliowazaa watoto Keisha na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Nov
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Maajabu ya ‘Shimo la Mungu’ Newala
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWcai-4ApDDfDt8G3RQmnY04TPdMEcrXS2sT9zPqzI9Bu793A8AU029NG*gGBZ0VIQmVbRzFG-JNoDACwytnp1c/Maajabu.jpg?width=650)
HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU
11 years ago
GPLMUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s72-c/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s400/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...
11 years ago
Habarileo11 Dec
Maajabu ya Madiba
KATIKA uhai wake mpambanaji dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, Nelson Mandela, aliishangaza dunia alipotangaza msamaha kwa waliomtesa na akiwa marehemu, amekutanisha viongozi mahasimu wa kisiasa duniani katika uwanja mmoja wakimuaga. Hicho ndicho kilichomsukuma mshindi mwenzake wa Tuzo ya Nobel, Askofu Desmond Tutu, kusema Mandela alikuwa wa maajabu na alionesha maajabu akiwa hivi sasa ni marehemu.
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maajabu ya damu mwilini (4)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-faIAhykEiIs/U8bU0r2hE3I/AAAAAAAAKMg/EWH76NdKB9k/s72-c/asali-mdarasini.png)
MAAJABU YA ASALI NA MDARASINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-faIAhykEiIs/U8bU0r2hE3I/AAAAAAAAKMg/EWH76NdKB9k/s640/asali-mdarasini.png)
FAIDA ZA ASALI NA MDALASINI KIAFYAAsali na mdalasini bado inaendelea kutumika kama tiba katika magonjwa ya aina mbalimbali, hasa kwa baadhi ya watu wanaoamini katika tiba mbadala kuliko tiba za kisasa, na kwa kiwango kikubwa wameweza kutibu maradhi yao bila kupata...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvu2b-WnOZLaRbn8DF*wZqicGtP3uHuwD*H*CvZwpqNfBDXi4-bsFmh0Ug9TuVd4GlZ6VmXpCUXKUM5*lwtlk8Ru/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
MAAJABU YA MTOTO KUFUFUKA