Mkalimani wa mazishi ya Mandela alazwa
Mkalimani wa lugha ya ishara katika mazishi ya kitaifa,ya Nelson Mandela,amelazwa katika hospitali ya magonjwa ya akili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Dec
Mkalimani wa Mandela alazwa kwa uchizi
MKALIMANI mtata katika ibada maalumu ya kumkumbuka kiongozi wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika uwanja wa FNB jijini Johannesburg Desemba 10 amelazwa hospitalini kwa matatizo ya akili.
11 years ago
BBCSwahili13 May
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcrjXI*vJZf-Pfv-v7dFzjGMWf1dWYQeGfXV0c1M-AkgP380GFSqURNvMRCJh1f9r6lKQKpiEVrg5bBx7J3Zphbo/MKALIMANISAUZI1.jpg)
MKALIMANI IBADA YA MANDELA AOMBA RADHI, AJIITA BINGWA
Thamsanqa Jantjie akiwa 'beneti' na Rais Barack Obama wa Marekani siku ya ibada ya Mandela.
Thamsanqa Jantjie. MKALIMANI wa ishara za viziwi aliyeshambuliwa wakati wa ibada ya hayati Nelson Mandela amejitetea na kusema anaifahamu kazi yake vyema. Mtu huyo, Thamsanqa Jantjie, alisema jana ana ujuzi mkubwa wa kazi hiyo na ameifanya katika matukio mengine makubwa nchini humo. “Nimeifanya kazi hii kwa miaka mingi,â€...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcq8mxXMwaPLLuaqCSeiuT*RYRx7mOAStiHemNHrqs8QleuEovGHxZ*-reBwrJVv7KH6cfRNHWxBta1u00HbRJw7/GUMASHI.jpg?width=650)
‘SAUZI’ YAMTAFUTA MKALIMANI FEKI WA VIZIWI KWENYE IBADA YA KUMKUMBUKA MANDELA
Rais wa Marekani,  Barack Obama, akihutubia karibu na mkalimani feki kwenye ibada ya kumkumbuka hayati Mandela. Mkalimani feki (kulia) akiwa kazini. Kushoto ni Rais wa Marekanai, Barrack Obama wakati akihutubia. (PICHA NA…
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mazishi ya Mandela
Mazishi ya Hayati Mandela yanaendelea kumuaga mtu aliyefahamika kama shujaa na mpigania uhuru
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mazishi ya Mandela Qunu
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amezikwa nyumbani kwao katika kijiji cha Qunu, katika mkoa wa Cape Mashariki.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcr4HNrkKJFVJiKG3vxoNe9DyjLEoQ-y8sJQB66QV1wiOxu5xAXm2OVRzvKbBJwZ0Bz340nIUzklspn9xlsEtw5u/madiba.jpg?width=650)
MAZISHI YA MANDELA, DUNIA KIMYA
Stori: Oscar Ndauka na Ojuku Abraham
DUNIA ipo kimya wakati maandalizi ya kuupumzisha kaburini mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela yakiendelea katika miji ya Johannesburg, Pretoria na kijijini Qunu, Mkoa wa Mthatha jimboni Eastern Cape atakozikwa kijijini atakakozikwa. UKIMYA WATANDA KWENYE TELEVISHENI
Ukimya uliendelea kutawala juzi na jana katika miji mbalimbali duniani, watu...
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mazishi ya Mandela: Kauli yako
Haya ni matukio kama yanavyojiri kwenye mazishi ya hayati Nelson Mandela. Na wewe una fursa ya kutoa kauli yako kuhusu matuiko haya
11 years ago
Mwananchi17 Dec
JK ametuwakilisha vyema mazishi ya Mandela
Yeyote aliyefuatilia kwa makini hotuba ya Rais Jakaya Kikwete katika mazishi ya aliyekuwa Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini siku mbili zilizopita, atakubali ukweli kwamba hotuba hiyo ilikuwa ya pekee na iliteka hisia za mamilioni ya watu katika nchi nyingi duniani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania