Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkalimani wa mazishi ya Mandela alazwa

Mkalimani wa lugha ya ishara katika mazishi ya kitaifa,ya Nelson Mandela,amelazwa katika hospitali ya magonjwa ya akili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mkalimani wa Mandela alazwa kwa uchizi

Mkalimani Thamsanqa JantjieMKALIMANI mtata katika ibada maalumu ya kumkumbuka kiongozi wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika uwanja wa FNB jijini Johannesburg Desemba 10 amelazwa hospitalini kwa matatizo ya akili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkalimani wa mazishi ya Mandela aajiriwa

Mkalimani katika mazishi ya Mandela apata ajira

 

11 years ago

GPL

MKALIMANI IBADA YA MANDELA AOMBA RADHI, AJIITA BINGWA

Thamsanqa Jantjie akiwa 'beneti' na Rais Barack Obama wa Marekani siku ya ibada ya Mandela.
Thamsanqa Jantjie. MKALIMANI wa ishara za viziwi aliyeshambuliwa wakati wa ibada ya hayati Nelson Mandela amejitetea na kusema anaifahamu kazi yake vyema. Mtu huyo, Thamsanqa Jantjie, alisema jana ana ujuzi mkubwa wa kazi hiyo na ameifanya katika matukio mengine makubwa nchini humo. “Nimeifanya kazi hii kwa miaka mingi,”...

 

11 years ago

GPL

‘SAUZI’ YAMTAFUTA MKALIMANI FEKI WA VIZIWI KWENYE IBADA YA KUMKUMBUKA MANDELA

Rais wa Marekani,  Barack Obama, akihutubia karibu na mkalimani feki kwenye ibada ya kumkumbuka hayati Mandela. Mkalimani feki (kulia) akiwa kazini. Kushoto ni Rais wa Marekanai, Barrack Obama wakati akihutubia. (PICHA NA…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela

Mazishi ya Hayati Mandela yanaendelea kumuaga mtu aliyefahamika kama shujaa na mpigania uhuru

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela Qunu

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amezikwa nyumbani kwao katika kijiji cha Qunu, katika mkoa wa Cape Mashariki.

 

11 years ago

GPL

MAZISHI YA MANDELA, DUNIA KIMYA

Stori: Oscar Ndauka na Ojuku Abraham
DUNIA ipo kimya wakati maandalizi ya kuupumzisha kaburini mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela yakiendelea katika miji ya Johannesburg, Pretoria na kijijini Qunu, Mkoa wa Mthatha jimboni Eastern Cape atakozikwa kijijini atakakozikwa. UKIMYA WATANDA KWENYE TELEVISHENI
Ukimya uliendelea kutawala juzi na jana katika miji mbalimbali duniani, watu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela: Kauli yako

Haya ni matukio kama yanavyojiri kwenye mazishi ya hayati Nelson Mandela. Na wewe una fursa ya kutoa kauli yako kuhusu matuiko haya

 

11 years ago

Mwananchi

JK ametuwakilisha vyema mazishi ya Mandela

Yeyote aliyefuatilia kwa makini hotuba ya Rais Jakaya Kikwete katika mazishi ya aliyekuwa Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini siku mbili zilizopita, atakubali ukweli kwamba hotuba hiyo ilikuwa ya pekee na iliteka hisia za mamilioni ya watu katika nchi nyingi duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani