Coronavirus: Mechi za Ligi ya soka ya England kuahirishwa hadi tarehe 3 Aprili
Mechi za Ligi kuu ya soka ya England zitaahirishwa hadi tarehe 4 Aprili kufuatia baadhi ya wachezaji wa ligi hio kupatikana na maambukizi ya virusi vya Corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Apr
10 years ago
Michuzi22 Apr
10 years ago
GPL
LIGI KUU ENGLAND MECHI ZA LEO
11 years ago
GPL
10 years ago
GPL
10 years ago
TZToday
9 years ago
Bongo511 Dec
Chama cha soka England (FA) chamfungia rasmi Schweinsteiger mechi 3

Chama cha soka cha England ( FA) kimetangaza rasmi kumfungia kiungo wa Manchester United, Bastian Schweinsteiger Mechi 3.
Adhabu hii inaanza mara moja baada ya Mjerumani huyo kuamua kutopinga mashitaka yake kwa kosa ambalo refa hakuliona na badala yake kuhukumiwa kwa ushahidi wa mkanda wa video.
Schweinsteiger mwenye miaka 31, anadaiwa kumpiga beki wa West Ham Winston Reid kwa mkono walipokuwa wakigombea mpira wa free kick katika mechi ya ligi kuu England iliyomalizika 0-0 Jumamosi...
10 years ago
GPL