UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
Bado nimepigwa na butwaa kwa namna ambavyo baadhi ya Watanzania wenzangu wanakosa ustahimilivu katika kipindi tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Nimegundua kwamba unapotoa hoja ambayo wengine hawaiungi mkono basi kumekuwa na ugumu katika kustahimiliana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Hasira ni hasara kwa afya yako
10 years ago
Raia Tanzania10 Aug
Hasira ya kura ya maoni yamtupa jela miaka mitatu
MKAZI wa Kijiji cha Ishunju, wilayani Missenyi, Sikitu Filemoni (27), amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kutiwa hatiani kwa kumsababishia mwenzake ulemavu wa kudumu.
Hukumu hiyo ilitolewa Ijumaa iliyopita na Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Gera, Allen Ifunya, ili iwe fundisho kwa mshitakiwa na watu wengine wanaoshindwa kutawala hasira zao.
Ilielezwa mshitakiwa alimrukia Dafroza Severian (41), mkazi wa kijiji hicho na kumng’ata mdomo, kitendo kilichosababisha kuondoa...
11 years ago
Mwananchi07 Sep
UCHAMBUZI WA POLEPOLE: Majadiliano ya vyama yabebe masilahi ya Taifa kwanza
11 years ago
Habarileo04 Oct
Ajiua kwa moto hasira za mapenzi
MKAZI mmoja wa kijiji cha Malolwa wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Ndikile Sunguli (38) amejichoma ndani ya nyumba hadi kufa baada ya kumjeruhi mke wake katika ugomvi unaoaminika ni wa mapenzi.
11 years ago
BBCSwahili01 May
Hasira kwa kukamatwa wanablogu Ethiopia
10 years ago
Habarileo27 Oct
Simba hasira zote kwa Coastal kesho
KOCHA wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr amesema kambi yao ya Lushoto mkoani Tanga itakuwa na tija kwenye mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo19 Sep
Prisons kumalizia hasira kwa Mbeya City
NAHODHA wa Tanzania Prisons, Laurian Mpalile amesema mchezo dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu lakini haiwafanyi kuogopa kucheza nao.
11 years ago
Michuzi
Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura

