Simba hasira zote kwa Coastal kesho
KOCHA wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr amesema kambi yao ya Lushoto mkoani Tanga itakuwa na tija kwenye mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
Bado nimepigwa na butwaa kwa namna ambavyo baadhi ya Watanzania wenzangu wanakosa ustahimilivu katika kipindi tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Nimegundua kwamba unapotoa hoja ambayo wengine hawaiungi mkono basi kumekuwa na ugumu katika kustahimiliana.
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Coastal, Polisi Morogoro vitani kesho Mkwakwani
KLABU ya Coastal Union ya hapa, kesho imepanga kufanya utambulisho wa nyota wake kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania bara itakayoanza Septemba 20. Utambulisho huo unaofahamika kama ‘Coastal...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tco-_pTLj9s/VapL4EeqpoI/AAAAAAAHqUg/GU6DKWABCWw/s72-c/coastal.jpg)
Coastal Union kukipiga na Friends Corner kesho Iddi Pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tco-_pTLj9s/VapL4EeqpoI/AAAAAAAHqUg/GU6DKWABCWw/s320/coastal.jpg)
Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Iddi Pili kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni muendelezo wa mechi za kujipima nguvu kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho kwa ajili ya mashindano ya Ligi kuu yajayo.
Maandalizi ya kuelekea mechi hiyo yamekamilika kwa asilimia kubwa...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s72-c/blogger-image-880205719.jpg)
DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.
![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s640/blogger-image-880205719.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Feb
COASTAL, SIMBA SC ZATOKA SULUHU
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*XfNVsz9OTx*J1wL7AA8xolIFusbgIOofOy2AZiw8Z*zYVJLdpgkCUk9Hh68WEfYMlScp1K7fv3V3CfZoWFqDGE/A.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*UIcSHHbGDShTpF4j1gz6jqjJ3iR*Q6uVC6fGfeQ4GFpV-TvgUUSnoil9*vxqpOuuahh1oV9U*HHJmCO-taRVwd/F.jpg?width=650)
COASTAL UNION wamegoma kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, baada ya jioni ya leo kulazimisha sare ya 0-0 na Simba SC Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Hakukuwa na mchezo wa kuvutia sana kutokana na timu zote kucheza mipira...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*XfNVsz9OTx*J1wL7AA8xolIFusbgIOofOy2AZiw8Z*zYVJLdpgkCUk9Hh68WEfYMlScp1K7fv3V3CfZoWFqDGE/A.jpg?width=650)
COASTAL, SIMBA SC ZATOKA SARE YA 0-0
Kipa wa Coastal Union, Shaaban Kado akidaka mpira mbele ya beki wake, Tumba Swedi ambaye yuko mbele ya mshambuliaji wa Simba SC, Dan Sserunkuma. COASTAL UNION wamegoma kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, baada ya jioni ya leo kulazimisha sare ya 0-0 na Simba SC Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Hakukuwa na mchezo wa kuvutia sana kutokana na timu zote kucheza mipira mirefu kwa kuhofia ubovu wa Uwanja wa Mkwakwani, lakini...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania